hapa umesemaNkiri.com
Zitaje plzMkuu mbona kuna ma site makali, kuwazidi hai net naija.
👉Tena quality vibaya mno
Eeh mbona wewe unatiwa unapata mimba unazaa wakati wenzako wanaenda laboratory wanapandikiza tu mtoto anatokeaDuuh kuna watu bado wana danilodi movies
Naomba link ya kudownloadNkiri.com
au sio wazee wa the big 'N'Duuh kuna watu bado wana danilodi movies
Torrent Kona Kona nyingi na third party kibao , netnaija ilikuwa bomba Sana japo hawakuwa na movie nyingi Ila ilikuwa rahsi Sana kudownload tena Kwa mb chachehawana leseni za usambazaji,
bora utumie torrent sites
Kwa sisi tusiojali quality, netnaija ilikua chaguo la kwanzaTorrent Kona Kona nyingi na third party kibao , netnaija ilikuwa bomba Sana japo hawakuwa na movie nyingi Ila ilikuwa rahsi Sana kudownload tena Kwa mb chache
lipia netflix🤣Torrent Kona Kona nyingi na third party kibao , netnaija ilikuwa bomba Sana japo hawakuwa na movie nyingi Ila ilikuwa rahsi Sana kudownload tena Kwa mb chache
Tumia Mkvcinemas, MB kiduchu!Dah nimesikitika sana kukutana na Taarifa kwenye ukurasa Wa Netnaija kuwa haitakuwa inajihusisha na Kuweka movie zidownlodiwe bila wao kutaja sababu
Dah Inauma sana maana imekuwa website ambayo ni rahisi kutumika na pia unapata movie kwa mb Chache
Sababu kubwa itakuwa ni nn imepelekea wao kusimama ?View attachment 2751655
Dah nimesikitika sana kukutana na Taarifa kwenye ukurasa Wa Netnaija kuwa haitakuwa inajihusisha na Kuweka movie zidownlodiwe bila wao kutaja sababu
Dah Inauma sana maana imekuwa website ambayo ni rahisi kutumika na pia unapata movie kwa mb Chache
Sababu kubwa itakuwa ni nn imepelekea wao kusimama ?View attachment 2751655
Si uyaweke wazi sasa turuke nayo?? Mbona unaturusha roho?Mkuu mbona kuna ma site makali, kuwazidi hai net naija.
👉Tena quality vibaya mno
Kabisaaaa tena haraka sanaa maanaDah! Tupeni njia nyingine wakuu
bhawana leseni za usambazaji,
bora utumie torrent sites
kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.Kwa sisi tusiojali quality, netnaija ilikua chaguo la kwanza
Zipo nyingi sanaMkuu mbona kuna ma site makali, kuwazidi hai net naija.
👉Tena quality vibaya mno