Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Hopefully kakako sio mtu wa mabinti....lol...
Afu shem kuna kitu mingine bana....... siku aliponipigia simu kua kaugua ghafla na kakimbizwa hospitali, nikajikuta nami napelekwa hospitali!! Khaa kupenda kubaya manake bajaji ilikimbizwa eti nawahi hospital utafikiri mie ndo daktari........ mtaro haukuwa na huruma na mimi, nikajikuta niko mtaroni kudadadeki!!
 
Haaaa!!! Jamani mwenzenu sasa nimeamini ninampenda sana mke wangu. Maana ni mara nyingi sana napata taabu sana nikiwa mbali naye hii ilitokea miaka miwili iliyopita kwa ridhaa yangu nilimruhusu aende kufanya MBA yake nje ya nchi ilimchukua mwaka mmoja na nusu lakini taaabu niliyoipata sitakuja kuisahau na nimejenga chuki na chuo alichokisoma kiasi kwamba nikisikia mtu anaenda chuo hicho mapigo yananienda kasi
 
Kuna vimwana vipya tokea Mbulu lakini hamna uzao wako. Labda uviwezeshe vinone kiaina.

Dah mafantumu hakuna i see hao ukinipa nikulindie utarudi na utamkuta salama hajachakachuliwa kabisa

Hahahaha Zero pub tumekamata wote, hupati kitu, we muulize ODM!

Nasikia uzao wangu pale hakuna nitakuwa napitiliza tu naminya pale If not
 
Afu shem kuna kitu mingine bana....... siku aliponipigia simu kua kaugua ghafla na kakimbizwa hospitali, nikajikuta nami napelekwa hospitali!! Khaa kupenda kubaya manake bajaji ilikimbizwa eti nawahi hospital utafikiri mie ndo daktari........ mtaro haukuwa na huruma na mimi, nikajikuta niko mtaroni kudadadeki!!



Oh' Shem nafurahi for najua Mama Matesha has a real Man ambae anajua kupenda kweli... Ulipona lakini?? na uliwahi pia??
 
Haaaa!!! Jamani mwenzenu sasa nimeamini ninampenda sana mke wangu. Maana ni mara nyingi sana napata taabu sana nikiwa mbali naye hii ilitokea miaka miwili iliyopita kwa ridhaa yangu nilimruhusu aende kufanya MBA yake nje ya nchi ilimchukua mwaka mmoja na nusu lakini taaabu niliyoipata sitakuja kuisahau na nimejenga chuki na chuo alichokisoma kiasi kwamba nikisikia mtu anaenda chuo hicho mapigo yananienda kasi



Ezan I LOVE this post!! Bravo..... Mwenyezi Mungu akujalie uendelee hivo hivo na hayo Mapenzi yawe kweli reciprocated.
 
Haaaa!!! Jamani mwenzenu sasa nimeamini ninampenda sana mke wangu. Maana ni mara nyingi sana napata taabu sana nikiwa mbali naye hii ilitokea miaka miwili iliyopita kwa ridhaa yangu nilimruhusu aende kufanya MBA yake nje ya nchi ilimchukua mwaka mmoja na nusu lakini taaabu niliyoipata sitakuja kuisahau na nimejenga chuki na chuo alichokisoma kiasi kwamba nikisikia mtu anaenda chuo hicho mapigo yananienda kasi
Alolo...mapenzi yanarun dunia
 
Oh' Shem nafurahi for najua Mama Matesha has a real Man ambae anajua kupenda kweli... Ulipona lakini?? na uliwahi pia??
Cmon shem....... nilipona? kwamba nilikufa na kuna mtu anatumia ID yangu au? Sikufa bana ila cha moto nlikiona. Nikajikuta badala ya kumuuguza mai darling wife wangu, yeye ndo akawa ananiuguza!! Kibega kiligeukia upande wa pili kulaaaleki...
 
And when I die I'll keep on living........ for you my darling soulmate....I will love you till I kick the bucket!!
kwa nini unanipigisha mapigo ya moyo kiasi hiki yaani nimetoka kidogo tu umebadilika hivi mpenzi wangu?? halafu tabia gani hiyo kupenda mashem zako......"kilio"
 
...Yes, Yes, Yes!!!
avatar11417_25.gif
......Marriage is like a Dance, No matter how the Music changes you keep on Dancing... - Soulmate!
 
Niliwahi kuwa katika hali kama hiyo nambaya zaidi nilikujakutoa uamzi wa ghafla bila kuzingatia kitakachojili baada ya wiki2 kugundua nipo peke yangu ikawa ngumu wiki ya 3 ikawa nikiona simu yake roho inadunda,nikikutana naye,moyo unalipuka lipu,Usiku nikawa silali namuwaza yeye ila nikamwita nikamwambia yaliyopo moyoni yanayonitesa nanikamwambia uamzi niliouchukua unanitesa lakini sina budi kwani ulichonifanyia sirudi nyuma japo naumia nanimekuja kugundua kwamba nilikuwa nakupenda sana!!Lakini nikawa namuomba nikutanae naye tuongee kama marafiki akakubali kwakuwa nilipokuwa sifanyi hivyo nakesha kwenye pc sipati usingizi kabisa Mimi ni JF,Facebook,Baadae akaja kuomba msamaha kwa aliyoyafanya nakwakuwa ilikuwa siyo mara yake ya kwanza alijutia!!ila nikazoea na sasa moyo haudundi kama mwanzo nimetulia.Nasema i was victim!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom