Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Afu shem kuna kitu mingine bana....... siku aliponipigia simu kua kaugua ghafla na kakimbizwa hospitali, nikajikuta nami napelekwa hospitali!! Khaa kupenda kubaya manake bajaji ilikimbizwa eti nawahi hospital utafikiri mie ndo daktari........ mtaro haukuwa na huruma na mimi, nikajikuta niko mtaroni kudadadeki!!Hopefully kakako sio mtu wa mabinti....lol...