Dah! I got into everlasting pain

Dah! I got into everlasting pain

ukiharibu shughuli ya watu unakua umeharibu career yako ya u MC kwa kiasi flani

Niharibu tena wakati wametaka nikawasuuze! Yaani hapo ni wangesuuzika na roho zao na career yangu inabaki pale pale.
 
Story za mjini hapa hapa bongo land! Hizi zinzopita baada ya dakika 2. Wangesema wangechoka. Hakukuwa na sababu ya kujiweka kwenye stress kubwa hivi. Sio nzuri kwa binadamu yoyote yule. Natumaini machungu yatakuisha muda si mrefu.

Dah,ingekuwa story mji mzima
 
Story za mjini hapa hapa bongo land! Hizi zinzopita baada ya dakika 2. Wangesema wangechoka. Hakukuwa na sababu ya kujiweka kwenye stress kubwa hivi. Sio nzuri kwa binadamu yoyote yule. Natumaini machungu yatakuisha muda si mrefu.

Na naona nimepata kaunafuu nilivyo share nanyi, maana hizi siku mbili moyo ulikuwa unauma sana,hata kuwaadisia marafiki niliona aibu wasije nicheka
 
pain often make us be strong but sometimes better a dogs than human being , I can not describe how I hurting, I am MC of the weddings, though not so much, x wangu alituma watu waje wanikodi with big offer without me knowing, I asked to be schedule in advance and led me around I got the day falling in the courtyard , lol come back to read the names nkakuta jina la x wangu na jina la binti aliyenipindua, I had no way out zaidi yakufanya lililonipeleka, dah wakuu nimeumia sana

pig moyo konde huyo si ubavu wako.wako yupo mae and what goes around comes around......

ipo siku huyo mwanamuke atalia km ww
 
chamsingi kama umeelewa changia mada, mambo ya broken sijui mwachie mwalimu wake

I ain't trying to be a teacher here, I wanted her to realise a honest mistake she has made...

Hao ndo wale wale " much know"

I can't blame you. Go back to your english teacher and try to think about the words before you post something else thats gonna embarass you...

Bwana weee ndio tunajifunziamo humo humo, sasa usipokiandika atajuaje unaweza au hauwezi? Cha msingi umeelewa mengine yanarekebishika taratibu, hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Ndo anarekebishwa hivyo...
 
Back
Top Bottom