Dah! I got into everlasting pain

Dah! I got into everlasting pain

pain often make us be strong but sometimes better a dogs than human being , I can not describe how I hurting, I am MC of the weddings, though not so much, x wangu alituma watu waje wanikodi with big offer without me knowing, I asked to be schedule in advance and led me around I got the day falling in the courtyard , lol come back to read the names nkakuta jina la x wangu na jina la binti aliyenipindua, I had no way out zaidi yakufanya lililonipeleka, dah wakuu nimeumia sana

Iv maharus ni Din gan viLeeee@@
 
Khaaaah!! Wanaume wengine ni mbwa walah!! Ndio unyama gani huo sasa! Nyokolo zao wote wenye tabia hizo.

Ila nami ningewafanyia vimbwanga hiyo siku wasingenisahau, wangejuta kunikodi.
 
Khaaaah!! Wanaume wengine ni mbwa walah!! Ndio unyama gani huo sasa! Nyokolo zao wote wenye tabia hizo.

Ila nami ningewafanyia vimbwanga hiyo siku wasingenisahau, wangejuta kunikodi.

Kwa navyokujua..nahisi ata baada ya tukio hakuna ambae angetaman kuiangalia CD ya hiyo harusi..
 
Lugha, lugha, lugha. Andika lugha yoyote unayoiweza maana sina hakika kama nimeelewa saana. Ila nami najiunga kusema pole lakini cha msingi endelea na maisha yako na wala usiwaze kulipa kisasi; kama story ni ya kweli.
 
Kwa navyokujua..nahisi ata baada ya tukio hakuna ambae angetaman kuiangalia CD ya hiyo harusi..

Yaani ningeandika historia, wao si wamejitoa ufahamu mie ningejitoa akili kabisaaaa, wangefurahi na nafsi zao.
 
Yaani ningeandika historia, wao si wamejitoa ufahamu mie ningejitoa akili kabisaaaa, wangefurahi na nafsi zao.

Bwa'harusi angepata wakati mgumu sana..hata hivyo nimegundua ana Tabia za kike,mwanaume mwenye akili hawezi kufanya hivyo.

Au lah,Bi harusi ndio aliyeshawishi hii kitu ifanyike. Sijawahi kusikia..duh
 
pain often make us be strong but sometimes better a dogs than human being , I can not describe how I hurting, I am MC of the weddings, though not so much, x wangu alituma watu waje wanikodi with big offer without me knowing, I asked to be schedule in advance and led me around I got the day falling in the courtyard , lol come back to read the names nkakuta jina la x wangu na jina la binti aliyenipindua, I had no way out zaidi yakufanya lililonipeleka, dah wakuu nimeumia sana

pole,jitahidi kuficha huzuni yako ili huyo mjinga asijione kama kafanikiwa kukuumiza...
pia potezea maana tayari mlikuwa mmeachana...
mwisho ni kwamba hakuna maumivu yasiyoisha..ni kweli umeumia ila furahi kwa sababu ipo siku yataisha japo hutaisahau hiyo siku.
 
Khaaaah!! Wanaume wengine ni mbwa walah!! Ndio unyama gani huo sasa! Nyokolo zao wote wenye tabia hizo.

Ila nami ningewafanyia vimbwanga hiyo siku wasingenisahau, wangejuta kunikodi.
Mteja mfalme bhanaa.....!! "utaharibu biashara yako" MC kesha sema alilipwa kitita!!
missyrose nifah pritty of joseph
 
Last edited by a moderator:
Bwa'harusi angepata wakati mgumu sana..hata hivyo nimegundua ana Tabia za kike,mwanaume mwenye akili hawezi kufanya hivyo.

Au lah,Bi harusi ndio aliyeshawishi hii kitu ifanyike. Sijawahi kusikia..duh

Hivi mwanaume na akili zako timamu za kiume waweza shawishiwa kufanya huu upuuzi na mwanamke nawe ukafanya? Ni uduwanzi tu, unless ndio wale wanaume........
 
Mteja mfalme bhanaa.....!! "utaharibu biashara yako" MC kesha sema alilipwa kitita!!
missyrose nifah pritty of joseph


It ain't right..bora angempa kadi ya mwaliko tu,lakini sio kumpa u MC.

Eti ndio unaweka na zile amsha amsha 'maharusi wetu mmependeza saana,mwenye wivu ajinyonge'..inauma aisee.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaah!! Wanaume wengine ni mbwa walah!! Ndio unyama gani huo sasa! Nyokolo zao wote wenye tabia hizo.

Ila nami ningewafanyia vimbwanga hiyo siku wasingenisahau, wangejuta kunikodi.

Ungefanye kama huyu?
 

Attachments

  • 1442950240270.jpg
    1442950240270.jpg
    105.5 KB · Views: 192
Mimi sitoi pole isipokua nakupa hongera kwa kutimiza majukumu yako vyema, na umekiri hapa kua hadi leo bado unampenda huyo x wako , naamini hata yeye anakupenda na aliona japo ufaidike na mshiko huo wa kazi hiyo, jamaa nimemkubali na yeye ni jasiri mno
 
Back
Top Bottom