Dah! I got into everlasting pain

Dah! I got into everlasting pain

siku ukipata wa kuziba pengo maumivu yataisha kabisa na utarudi kutuambia humu....
ila hapo kwenye kuni mmm umetuonea..katika suala ya kuumiza wenzi wanawake mnaongoza...case za wanaume ni very rare na moja wapo ndio kama hii

Poa ndugu yangu,Usk mwema
 
Dawa angewawekea mchiriku mwanzO mwisho


Akibadilisha taarabu

Wakikaa vibaya anashindilia na ccm ni ile ile

Labla hawajajielewa unawagonga na rap za fid q na 50 cent

Lazima akili iwakae sawa

Hata wangenilipa mamilioni mangapi, isue ni kuwa ningewafurahisha kama walivyotaka, yaani ningekuwa mc of the year, wangetakasika na nafsi zao.
 
pain often make us be strong but sometimes better a dogs than human being , I can not describe how I hurting, I am MC of the weddings, though not so much, x wangu alituma watu waje wanikodi with big offer without me knowing, I asked to be schedule in advance and led me around I got the day falling in the courtyard , lol come back to read the names nkakuta jina la x wangu na jina la binti aliyenipindua, I had no way out zaidi yakufanya lililonipeleka, dah wakuu nimeumia sana

Pole...
Siku nyingine andika kiswahili tu maanake hiyo broken hata kwa super glue haiunganiki.....
 
Pole...
Siku nyingine andika kiswahili tu maanake hiyo broken hata kwa super glue haiunganiki.....

chamsingi kama umeelewa changia mada, mambo ya broken sijui mwachie mwalimu wake
 
Huyo ex wako hajakua akili.
Msamehe bure tu

Kwa kumkomesha kwenye harusi mwanzo mwisho wapigie ccm ni ile ile

Anyway

Jitoe waambie hutoweza kufanya hiyo kazi watafute mtu mwengine

Mkuu awapigie lowasa huyooo na tanzania mpyaaaaa
 
ukiharibu shughuli ya watu unakua umeharibu career yako ya u MC kwa kiasi flani
Khaaaah!! Wanaume wengine ni mbwa walah!! Ndio unyama gani huo sasa! Nyokolo zao wote wenye tabia hizo.

Ila nami ningewafanyia vimbwanga hiyo siku wasingenisahau, wangejuta kunikodi.
 
siku ukipata wa kuziba pengo maumivu yataisha kabisa na utarudi kutuambia humu....
ila hapo kwenye kuni mmm umetuonea..katika suala ya kuumiza wenzi wanawake mnaongoza...case za wanaume ni very rare na moja wapo ndio kama hii

:what::what::what::what::what:
 
Dawa angewawekea mchiriku mwanzO mwisho


Akibadilisha taarabu

Wakikaa vibaya anashindilia na ccm ni ile ile

Labla hawajajielewa unawagonga na rap za fid q na 50 cent

Lazima akili iwakae sawa

Hahahaaaaa!! Yaani ningekuwa ni mimi ningekuita tufanye boonge la kolabo, yaani wangesuuzika.
 
Pole...
Siku nyingine andika kiswahili tu maanake hiyo broken hata kwa super glue haiunganiki.....

Bwana weee ndio tunajifunziamo humo humo, sasa usipokiandika atajuaje unaweza au hauwezi? Cha msingi umeelewa mengine yanarekebishika taratibu, hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Back
Top Bottom