Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
- Thread starter
- #61
siku ukipata wa kuziba pengo maumivu yataisha kabisa na utarudi kutuambia humu....
ila hapo kwenye kuni mmm umetuonea..katika suala ya kuumiza wenzi wanawake mnaongoza...case za wanaume ni very rare na moja wapo ndio kama hii
Poa ndugu yangu,Usk mwema