Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,196
Ungefanye kama huyu?
Aaaah hiyo mbona cha mtoto.
Ungefanye kama huyu?
Wanaorubuniwa..Teh Teh.
Mdada alijikaza 'kisabuni' though..mimi yangenishinda,ningejiangusha tu. Wangedai hela ningewaambia tumemalizana na bwa Harusi.
Aaaah hiyo mbona cha mtoto.
Kama uliifanya poa.
Ila huyo ex na mkewe washamba tu....
Na ex atakuwa bado hajamove on.....
Hapo ingekula kwako... hiyo "maana ni breach of contract" Bwa Harusi hahusishwi.......Wanaorubuniwa..Teh Teh.
Mdada alijikaza 'kisabuni' though..mimi yangenishinda,ningejiangusha tu. Wangedai hela ningewaambia tumemalizana na bwa Harusi.
Hapo ingekula kwako... hiyo "maana ni breach of contract" Bwa Harusi hahusishwi.......
atoto Pritty wa joseph Pole tena.....
pole,jitahidi kuficha huzuni yako ili huyo mjinga asijione kama kafanikiwa kukuumiza...
pia potezea maana tayari mlikuwa mmeachana...
mwisho ni kwamba hakuna maumivu yasiyoisha..ni kweli umeumia ila furahi kwa sababu ipo siku yataisha japo hutaisahau hiyo siku.
Contract inaweza kuvunjwa..na ningeivunja..niamini mimi.
I don't think if waligundua hiyo kitu, ingawa kuna baadhi ya jamaa zake walishangaa sana
Yani sikuweza ila dah acheni tu, jamani
lazima washangae sababu ya ujinga alioufanya...
najua ilikuuma kwa kuwa ulikuwa bado unampenda... ila ndio hivyo kisicho riziki hakiliki.
kwa neema ya Mungu atakupa kikufaacho..
pole sana.
Sijaelewa umeandika lugha ngumu sana (English)
Pole kipenzi..Nakusifu hata hivyo. Strong Woman..Binafsi nisingeweza.
I call this "everlasting pain" coz I don't think if its gonna fade away, wanaume mtakuwa kuni kwa mungu
I call this "everlasting pain" coz I don't think if its gonna fade away, wanaume mtakuwa kuni kwa mungu