Salim Mhina
Member
- Apr 15, 2012
- 24
- 5
Diamond yupo juu akifanya tena live show ya elfu hamsini kiingilio itajaa tena na tiketi hazitatosha.
Sidhani kwa sasa kama kuna mwimbaji mwingine wa aina yake anayevutia watu hivyo Tanzania.
diamond na tid nani mkali kwa kucheza?