Dah!Diamond balaa yani...

Salim Mhina

Member
Apr 15, 2012
24
5
Dah!Diamond balaa yani kaibuka na tuzo tatu kwa mpigo.Ni hiz za kill music awards.Kachukua ya mchezaji bora wa kiume wa mwaka,mtunzi bora na video bora ya mwaka.
 

Attachments

  • TUZO.gif
    TUZO.gif
    7.6 KB · Views: 923
Diamond yupo juu akifanya tena live show ya elfu hamsini kiingilio itajaa tena na tiketi hazitatosha.
Sidhani kwa sasa kama kuna mwimbaji mwingine wa aina yake anayevutia watu hivyo Tanzania.
 
Diamond yupo juu akifanya tena live show ya elfu hamsini kiingilio itajaa tena na tiketi hazitatosha.
Sidhani kwa sasa kama kuna mwimbaji mwingine wa aina yake anayevutia watu hivyo Tanzania.

Ni mtazamo tu,japo ni wazi kila jambo linawakati wake! Kipindi cha Mr Nice na nyimbo zake za chei chei nae alishika wabongo vizuri,so ingekuwa sahiv nadhani nae ht kiingilio cha laki angejaza ukumbi na zaidi...
 
Jamani, mi nikubali tu kuwa nimepitwa na wakati!
Tuzo za Kili awards zimefanyika lini?...mbona sijasikia?
 
Anajitahdi sana lakini maisha ya nje ya sanaa yanaweza kumharibia au kuwakwaza washabiki wake
 
Kichwa chake kinakwenda resi bila kuwa na mtu wa kummanage ataishia pabaya!! He needs a manager mama yake hawezi hiyo ni professional job!!
 
diamond na tid nani mkali kwa kucheza?

Unajua kukata mauno katika video na kum2 kulimiliki jukwaa kikamilifu ni v2 viwili tofauti.TID ni mkali wa mauno na kushek but c mkali wa kumil jukwaa kama alivyo diamond.Wacheki wakali hawa wa jukwaa Michael Jackson,Rihana,Nick minaj then tel me ukiwapa hiv vijukwaa vya 6 X 6 patawatosha kwel
 
Ah wapi kijana wa Dushlele hana mpinzani hapa bongo bana,wengine wauza nyuso tu
 
Back
Top Bottom