fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Vipi kodi kwa baadhi ya nchi haita athiri bei hiyo ya installation na malipo kwa mwezi..mfano huku Tanzania ya uchumi wa viwanda bei itakua hiyohiyo ya $500 /$ 99 licha ya serikali yetu pendwa kuweka kodi ndefu kama itatokea wametaka kuwekeza hapa Tz?Jamaa watapiga pesa mbaya maana makampuni kariba yote na watu wenye matumizi kubwa ya internet watahamia kwa starlink maana unalipa fixed amount kwa mwezi