Dah! Airtel na halotel, mmeua hahahaha!

Jamaa watapiga pesa mbaya maana makampuni kariba yote na watu wenye matumizi kubwa ya internet watahamia kwa starlink maana unalipa fixed amount kwa mwezi
Vipi kodi kwa baadhi ya nchi haita athiri bei hiyo ya installation na malipo kwa mwezi..mfano huku Tanzania ya uchumi wa viwanda bei itakua hiyohiyo ya $500 /$ 99 licha ya serikali yetu pendwa kuweka kodi ndefu kama itatokea wametaka kuwekeza hapa Tz?
 
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana
StarLink ni satellite internet iliyoanzishwa na company ya spaceX huko marekani. Lengo lao ni kuleta high speed and low latency (ping) satellite internet kwa bei rahisi. Satellite internet ya sasa haina speed kubwa na coverage kubwa. SpaceX wamerusha satellite 1145 hadi sasa zinazozunguka kwenye low earth orbit na bado wanaziongeza. Speed ya internet yake kwa sasa ni around 150 - 250Mbps (Download).

Kingine pia ni kwamba dish lao lina auto adjustment, hvyo wewe unaweka tu nje (au juu ya paa la nyumba) yenyewe inatafuta satellite za karibu na kuconnect (hakuna maswala ya kutafta fundi wa madish aanze kutafuta satellite na mavifaa yake).

Bei ya equipment (dish, router yake na accessories nyingine) ni $500 (1,160,000) na utakua unalipa $99 (230,000) kwa mwezi for unlimited. Ambayo ni bei sawa tu na satellite internet providers wa hapa bongo wanaokupa 5 - 20Mbps.

Sijajua kama satellite zao zipo reachable hapa bongo ila South Africa tayari zipo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kodi kwa baadhi ya nchi haita athiri bei hiyo ya installation na malipo kwa mwezi..mfano huku Tanzania ya uchumi wa viwanda bei itakua hiyohiyo ya $500 /$ 99 licha ya serikali yetu pendwa kuweka kodi ndefu kama itatokea wametaka kuwekeza hapa Tz?
Sidhani kma itakuja officially Tz. Serikali yetu policy zake zinafukuza sana tech companies kuwekeza. Ukijumlisha na TCRA walivyokua moto sikuhz sidhani kabisa. Labda Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mnafikiri watapata GPA kubwa ama uzalishaji utaongezeka sio?

Kitu mnashindwa kutambua ni kuwa wengi tunanata. NA DATA TU, HAYO MENGINE NI ADDITIONAL TU, MAANA KUNA VIFURUSHI VYA DAKIKA NA SMS MTU ATAJIUNGA HATA HIVYO HUWA HATUMALIZI HAYO MADAKIKA NA SMS HIVYO HAKUNA UMUHIMU WA KUPUNGUZA DATA KILA WAKATI.

AMEN

View attachment 1710334View attachment 1710335
Airtel hata kama wangekupa GB 1000 kwa TZS 100 siwezi kununua hata line yao.

Hizo Data hazitakusaidia chochote kwa sababu internet haipo.
 
Hapo mkuu kwangu speed kwa mitandao yote iko vizuri mno shida ni kupunguziwa saizi ya bando.

Ya juu ni halotel usiku pack hiyo ilikuwa ni 10gb six hrs sasa ni 5gb six hrs

Wakati ya chini ni Airtel mwanzoni tulipewa 500mb kwa jero na 1gb kwa buku sasa leo kimenuka.
Hawa jamaa wala hawaeleweki! Nadhani juzi tu hapa nilijiunga Night Bundle ya Airtel 10GB/1500 tena ni 24 hours tofauti na hiyo halotel. Nasema hawaeleweki si ajabu nikirudi tena kwao hiyo bundle sitaiona
 
Sidhani kma itakuja officially Tz. Serikali yetu policy zake zinafukuza sana tech companies kuwekeza. Ukijumlisha na TCRA walivyokua moto sikuhz sidhani kabisa. Labda Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya sio labda, kule kwenye Jukwaa la Kenya tunatumia uzalendo tu lakini wale manyang'au wametuacha kwenye idara nyingi sana! So, kwa Kusini ya Jangwa la Sahara, baada ya SA sina shaka itafuata Kenya na Nigeria ndizo zitafuatia.
 
Hawa jamaa wala hawaeleweki! Nadhani juzi tu hapa nilijiunga Night Bundle ya Airtel 10GB/1500 tena ni 24 hours tofauti na hiyo halotel. Nasema hawaeleweki si ajabu nikirudi tena kwao hiyo bundle sitaiona
Kupitia menu gani unapata hii bundle kwa airtel
 
Hapo mkuu kwangu speed kwa mitandao yote iko vizuri mno shida ni kupunguziwa saizi ya bando.

Ya juu ni halotel usiku pack hiyo ilikuwa ni 10gb six hrs sasa ni 5gb six hrs

Wakati ya chini ni Airtel mwanzoni tulipewa 500mb kwa jero na 1gb kwa buku sasa leo kimenuka.
Mkuu jiunge vifurushi kwa halopesa mbona utainjoy maana buku ni gb1 kwa wiki
 
Kenya sio labda, kule kwenye Jukwaa la Kenya tunatumia uzalendo tu lakini wale manyang'au wametuacha kwenye idara nyingi sana! So, kwa Kusini ya Jangwa la Sahara, baada ya SA sina shaka itafuata Kenya na Nigeria ndizo zitafuatia.
Kweli kabisa. Wewe huwezi amini hadi leo hii BoT wamewabania PayPal kuruhusu kuwithdraw na kupokea hela Tz. Hivi kweli mwaka 2021 vitu kma hvi bado tunabaniwa. Kenya vijana sshv wanapiga freelance jobs kwa raha zao na hela zao wanazitoa bila hata kuhangaika. Sisi tutazidi kubaki nyuma kwenye tasnia ya technology kma hali ndo hii. Tutajenga mabarabara na kuishia hapo wakati wenzetu wanafanya changes duniani.

Wakenya watatuacha mbali sana hasa tunapoingia kwenye hizi zama za technology. Ukiangalia hapa duniani sshv macompany yenye hela nyingi yote ni tech companies.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom