Halafu kule watu wanajifanya ni Maprofesa wa kila fani!!
nashukuru Chit-Chat inaanza kuwavuna polepole.
Alianza topical, naona umefuata, bado Nguruvi na Mag3...
na mie nimeanza papenda hapa..
JS.. ndo what.. Mphamvu..
Jukwaa la Siasa mkuu...
Mphamvu, mdogo wangu upo?
Karibuni sn hapa kwetu ni full raha hakuna strec wala kusababishiana hacra ya ni kutabasamu km sio kucheka kbs!
@Mphamvu,pole mkuu hao watu wa ivo ukiwapotezea unakua unapeta tu,kwan jukwaa hili ni kuchit na kuchat ndio maana kumejaa mastory hata ya uongo ili mradi kuenjoy tu!wale baadhi wenye mastrec yao na kutaka kulazima wengine kuwa nazo na kusababishiana ban dawa nikupita post zao km huzion tu na kuchati na wenye raha zao!
Mphamvu, mdogo wangu upo?