Bigirita
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 15,989
- 7,356
Ungekuwa huna uwezo wa kuwa na lako usingelikubali?
Umeonaaaeeee!!
Anywayz......kama ingekuwa mwanaume ndo anahongwa na boss mwanamke ingekuwaje? Tehe tehe
Mi gari ningechukua, safari ningekwenda na shughuli nampa ya maana Tu......then naomba TiGo au nalazimishia. Akigoma namwambia basi bana....mi huko ndo napapenda zaidi coz huku mbele hata my wifey anayo na nitamu sana Tu.