Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Kama ameshamegwa mi namshauri achukue mkoko familia yake inufaike na matunda ya mama kuchojolewa.
Hainiingii kichwani kafanyiwa yooooote hayo halafu hajawahi kuvua ch'upi. Mi naona kinachomsumbua hapo ni kuwa akilikubali hilo gari atamwambia nini mumewe?
mpaka kalikubali nahic atakuwa amejipanga cha kumweleza mume"mkopo"...ishu ni dhamira kumsuta pale boc atakapokaba mpaka kivuli.