Dada yangu ananitaka kimapenzi

Dada yangu ananitaka kimapenzi

Huyo ni binamu yako, na "Binamu nyama ya hamu" wahenga walisema,

Hapo hakuna laana wala mikosi....
Itendee vyema shauku ya binamu yako, anakutegemea ndio maana anajiweka vyema ili utungue.
Sasa we jifanye sitaki nataka...
Bahati haziji mara mbili, ikirudi huo ni mkosi.
 
kabila zingine binamu wanaoa kabisa/
binamu kinyama cha hamu/ waarabu na wapemba kama FaizaFoxy wanaoana tu./
Mimi niliandaliwa kabisa mtoto wa mjomba, nikimaliza shule nije nikaoe, mamaliza degree yangu kenyewe ndo kanamaliza darasa la 7. Nilifika nyimbani kakawa kanajiweka karibu na mimi, nilikapotezea, siku hizi kananiambia eti mimi nilikiwa mjinga sana kwa vile eti kalikuwa kananiletea maku mimi nikawa sijitambui. Hivi karibuni imebidi nimbamize, akafurahi sana, sasa anataka kizoea ma mimi nimeshahamisha majeshi. i.e. nimesha retreat!!!
 
Kama mnaazimana vipodozi japo umejitetea ni mafuta ameshakuona huna madhara kwake a.k.a nyuki wa mashineni kwa upande wangu nimegundua wewe ni mwanaume wa....any way maisha ndivyo yalivyo
Kwa manenoengine ni kwamba binti ameshamuona kama na yeye ni mwnzake!!!!
 
Mtoto wa mjomba sio ndugu hata kidogo. Ila shinda vishawishi..
Mjomba ni Mama yako, kama kumla umle kwa tamaa zako! Usisafirie utelezi waliotelezea wengine Mkuu!
 
Waswahili husema
"Kila mla cha mwenziwe,na chake huliwa" sasa wewe kula cha Mjomba wako na wewe si una Dada zako watoto wake nao watakuja kula vyako, InshaAllah
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..


MKUU,

WEKA PICHA,
KISHA NI_PM NAMBA YAKE YA SIMU
NIKUPE USHAURI MADHUBUTI!
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
KOO MBILI TOFAUTI HIZO, WEWE KANYAGA TU......HOPEFULLY, KUNA ULICHOFANYA NA HAPA WATAFUTA UHALALI
 
Inaonekana wewe pia kuna mazingira umeyatengeza mpaka yeye akawa hivyo, kama ingekuwa mkali kama kaka asingethubutu hata siku moja, siku ya kwanza tu ungemfokea na kumtishia kumsemea angeacha, Sasa mlale halafu apate mimba uje uombe ushauri tena ufanyeje??
 
Ikimbie zinaa kama kijana Daudi kwa yule mke wa mfalme, ila mawazo yako yamuone kama dada au mama yako...ukimchukulia hivi hutoweza kunyanyua mshipa wako.... Usile ni haramu kwako...huwezi jua nawe generation yako usiinajisi
Kumbe Adam alikosea kwa Hawa?
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..

Yawezekana mjomba wako alichomekewa huyo mtoto kwani mvuto kwa ndugu ni ngumu sana kutokea. Toa taarifa kwa wahusika kiaina kuwa binti amebadilika na haeleweki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom