Dada yangu ananitaka kimapenzi

Dada yangu ananitaka kimapenzi

Watu mnaoleta mambo ya dini humu huwa nashindwa kuwaelewa,kwa sababu mtu ambaye anataka ufafanuzi wa jambo lenye kuhusiani na imani yake hata asingekuja humu kuuliza.

Na nyie mnaotakaga ushauri muwe mnasema mnataka ushauri wa aina gani au muende kwenye jukwaa LA dini ikiwa mnataka ushauri kutoka kwenye imani zenu.
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
Una miaka mingap???
 
hama Nyumbani kwenu,
Naona kama vile bado unakaa home,
Hama Nyumbani kwenu kwanza uone kama atakufata,
Kimbia kabla hatujamsingizia shetani
 
Unaijua kesi ya aibu? Basi mpe mimba mtu mliechangia damu. Wanawake walivyo wengi uhangaike na ndugu?
 
kabila zingine binamu wanaoa kabisa/
binamu kinyama cha hamu/ waarabu na wapemba kama FaizaFoxy wanaoana tu./
kwa mfano Wakurya au Wajaluo, binamu wa mjomba na shangazi huoana ila binamu wa mama wadogo hawaruhusiwi kuoana kabisa maana huchukuliwa kama kaka na dada. Acha uzinzi kijana ikimbie zinaa.
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
Acha kuchelewa Wewe tafuna kitu hiyo maisha yaendelee.
 
Mungu anajua kuumbua ukimkanyaga tu huyo bint na mimba juu halafu inatoka copy. Kuna brother men mmoja alijenga mazoea na bint mmoja ambae alikuwa mlemavu wa akili ila sio kivile sana yaani kama mbili kasorobo flan hivi basi mwisho jamaa akawa anakula mzigo tetesi zikaenda mpaka kwa ndugu wa yule bint wakaja kumuonya jamaa akawatolea nje na kashfa juu huyo dada yenu chizi nitampeleka wapi? Siku zikapita bint akaonekana na uja uzito ndugu wakamfungia ndani mpaka wakati wa kujifungua kilichotokea jamaa alihama mji begi likamfuata baadae maana ilitoka copy yenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom