Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Ushalegezwa magoti.....
Una miaka mingap???Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zangu,utamkanya kweli mdauHuyo ni ndugu yako kabisa achanae kabisa ikijulikana italeta shida kwenye familia hebu kwanza nipatie namba yake na yeye nimkanye
Kabisa mkuu mleta mada namuomba awe na imani tu na mie na hayo majaribu yatakwisha bado nasubiria namba ya simuHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha mbavu zangu,utamkanya kweli mdau
Ye aendeleee tuWe ndo umemueleza ukweli. Ye alishaamua hapa anatafuta kuungwa mkono tu.
kwa mfano Wakurya au Wajaluo, binamu wa mjomba na shangazi huoana ila binamu wa mama wadogo hawaruhusiwi kuoana kabisa maana huchukuliwa kama kaka na dada. Acha uzinzi kijana ikimbie zinaa.kabila zingine binamu wanaoa kabisa/
binamu kinyama cha hamu/ waarabu na wapemba kama FaizaFoxy wanaoana tu./
Acha kuchelewa Wewe tafuna kitu hiyo maisha yaendelee.Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
Kweli kabisa.
Akikupa hiyo no. nipatie na mimi nimkanye aache hiyo tabia

Huyo ni ndugu yako kabisa achanae kabisa ikijulikana italeta shida kwenye familia hebu kwanza nipatie namba yake na yeye nimkanye
kazi kweli kweli unamkanya au unataka kula mzigo mkuu