Dada yangu ananitaka kimapenzi

Dada yangu ananitaka kimapenzi

Achana nae yuko kwenye joto hivyoo
 
Ndugu zangu wanajamvi,,kwanza naomba niulize,mtoto wa MJOMBA angu ni ndugu kivile?..Tumekuwa tukiishi na huyo mtoto wa mjomba angu kwa kipindi kirefu,,mwanzoni ilikuwa kawaida tu maana alikuwa bado mdogo,ila sasahivi chuchu konzi,,msambwana umenawili,,kwahiyo ameanza kubadilika,muda mwingine anaweza kuwasha mziki nikipita anajisogeza nimbambie ila nakataa,,muda mwingine anakuja kunikaribisha chakula anaingia bila hata kupiga hodi nakuta hata nimetoka kuoga halafu dushe limeninginia yeye anaingia tu,,,muda mwingine anavaa kanga moko tu,,au akitoka kuoga anakuja chumbani kwangu hukukhanga imeloa anadai mafuta yake yameisha eti nimpe yangu ila akigeuka anatingisha...Sasa najiuliza,,nimle?au ntakosea?..maana namimi ni binadamu stimu huwa zinapanda muda mwingine..Naombeni ushauri jamani..
acha ufara piga mbupu ....mbona unakua boya kijanaa...
 
Wanasema huna cha kurithi kwa mjomba sasa huo ndio urithi pekee kutoka kwake...kula tu
 
dhambi inashawishi...mambo yakibuma utabaki pekeyako kujibia
 
Ukisema umle inaweza ikatokea ukampa uja uzito halafu ikaja kuleta shida baadae kwa huyo mtoto atakayezaliwa.Wazee wa zamani walikua wakikataza kitu kunakua na maana yake mfano;kuna magonjwa yanayokuwepo kwenye ukoo wenu kama sickle cell,albinism n.k.Ukisema ufanye nae uzinzi na akapata ujauzito na akazaa magonjwa kama niliyotolea mfano hapo juu huweza kujidhihirisha kwa urahisi kwa mtoto.Nakusihi uwe unampa ushauri ili apite salama kwenye kipindi hicho kigumu katika ukuaji.Rejea sifa za mtu anayevunja ungo/balehe bilashaka hutapata tabu kujua kwanini anafanya vitimbwi hivyo.
 
Kama kuna dhambi na laana kubwa.. ni kuzini na ndugu yako. Pls usitumbukie katika huo mtego. Huyo ndio amepevuka ndio maana anasumbua. We mkwepe.. ikiwezekana mripoti kwa mzazi wake kuhusu hiyo tabia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom