Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,896
- 1,214
Home swt home karbia mdada,kule michosho umeona,waaache hawa walioko JF wanaodhan wakipost kuidiss CCM ndo wataonekana wanaharakat na ID. Zao za kizushi,njoo mjengon piga kaz watz M45 wafurahi,,,,,,,,sie tunasonga waache waandamane na bdo kupinga matokea kama alivofanya 2010....