Mkuu Mbuzimzee mpumzishe huyu kahaba. Nakushauri usilete tena uzi kama huu. Umenivurugia siku yangu. Maana alisema kuwa sisi wanaume wote akiwamo baba, babu, wajomba zake ni wa hovyo. Hana maana huyu mtoto anayeongea bila kufikiri. Ingawa wewe ni mbuzi ulipaswa kujua hisia za binadamu hasa wanaume. Anyway huenda anakula nyama ya mwenzio. Kwa vile wewe ni hayawani huwezi kung'amua.
Tena old modelSiyo noah hiyo kweli????
duh! anapakia balaa..
Ha hapana sos lote ilo huyu demu anafukia n balaaaa....!
Siyo noah hiyo kweli????
Anajaribu kuendana na masharti ya matumizi ya njugu au karanga.