Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

Mara nyingi ukiwa na character hizi hutopata shida na mademu hasa ukiwa mtamu kwenye pickup lines na kuamsha tabasamu la mwanamke.

Ila pamoja na yote hayo usiwe mfupi maana response utakayopokea kwa masista duh wengi itamaliza appetite yako ya kula. Labda uwafate wale wafupi wenzio tu 🀣🀣🀣
 
Mi sio mfupi mkuu lakin hata mademu warefu kunizidi nshapiga shazi...alafu sasa hata ukienda kiwanja ukiwa na demu aliyekuzidi urefu unaonekana unajiamini
 
Tafuta hela kama million 10.halafu nenda sehemu unayojua ina watoto wazur na wana makalioooooooo..mwambie mmojawapo nakupenda.halafu mnunulie kifurush cha laki 1.asipokukubalia kajitose baharini
Aaah bwashee hayo ni matumizi mabaya ya pesa bwashee
 
Mi sio mfupi mkuu lakin hata mademu warefu kunizidi nshapiga shazi...alafu sasa hata ukienda kiwanja ukiwa na demu aliyekuzidi urefu unaonekana unajiamini
Utakuwa charismatic sana.
 
unamuuliza tu dada unakojoleaga nini akikujibu mwambie nionyeshe.
 
Achana na mastory mob..kwanza pesa unazo..siku hizi ni ushamba kumuomba dem namba...ni hivi vaa vizuri Kula vizuri fanya mazoezi keep-busy na maisha yako chalii'angu utatongozwa na visichana hadi wake za watu...real gear!!
 
Hapo namba 6 ndo nabugi aargh
 
Wahenga bado mpo tu katika game [emoji23][emoji119]
 
Mimi nilianzaga kutongoza chekechea huko.Nilimtongoza teacher, nikawa nahongwa vikombe vya uji.
Vijana wa siku hizi sijui mnashindwa wapi?
 
Hama huko chato mkuu!matusi ya huku mjini unaambiwa tu umeme umeisha,kodi imeisha,anadaiwa vikoba,anaumwa malaria,anashida na laki mbili,Simu yake imeharibika,anataka Elfu 50 akaoshe nywele,birthday yake imekaribia etc,huku utakimbia tu mwenyewe hata hautukanwi na mtu
Ila jamani kuna wadada wengine kisanga tu, yaani hata hujamaliza shida yako anaanza kukuporomeshea matusi
 
[emoji95]
 
Ila jaman mm demu anayependa sana kunywa pombe, kwenda night club huwa siwapend kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…