Mnaangaliaga usmart au kama pesa ipo?...hakuna lolote...mi nilishawahi kupendwa nikiwa hovyo kabisa kimavazi sema nilikuwa nazungusha pombe kama sina akili nzuriUna sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Wakuu nahisi mm ni muhanga wa hili tatizo na pengine kuna watu wanamna kama ya kwangu.....
Huwa napata wakati mgumu sana kumtongoza MTU pale napokutana naye kwa Mara ya kwanza, yaani hapo nikuwa ndo mmekutana naye kwa Mara ya kwanza inaweza ikawa labda njiani au kwenye daladala.
Maana wanaume sie huwa hatukawii kupenda na kama upo single basi kila mwanamke mzuri unayekutana naye unatamani awe wako Ila sasa mbinu za kumuingilia ndo huwa kitendawili....wazoefu tunaomba tushare hapa na wadada mnaruhusiwa kuchangia pia
πππ We jamaa noma aiseeπ€£π€£π€£!Hata tukikusaidia kutongoza ukaweza utafaidi wewe kama wewe na sio kwa maslahi mapana ya nchi.
Au nakosea mkuu?πππ We jamaa noma aiseeπ€£π€£π€£!
Hahahahhaha Sanchez magoli njia ni ile ile uliyotumia kipindi kile[emoji23] kushuka kituo ambacho anashukia yeye hata kama haujafika. Ili uweze kuomba namba.cute b fundi wa hizi kazi njoo usaidie vijana uku.
Nashukuru ngoja nianze mazoeziAcha udomo zege mkuu jiamini
Hahahahaaa kurarekiii,, machalii mnatisha aseeHuku R,chuga hatuzunguki sana unasalimia kisha unamuliza, sister hapo kati niaje?
Sema inabidi na wanawake muwe mnatutongoza bana, yaani unakuta mwanamke anampenda mwanaume badala ya kumwambia ukwel unaumia roho tuuuu so poa banaUna sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Shida wakifanya hivyo wanaonekana kama wanajiuza ndo maana inakuwa vigumu kwao halafu na mwanaume picha inayomjia anahisi labda huyo manzi kuna kitu anakifuata kwake na wala sio mapenziπππSema inabidi na wanawake muwe mnatutongoza bana, yaani unakuta mwanamke anampenda mwanaume badala ya kumwambia ukwel unaumia roho tuuuu so poa bana
Haya mambo hayakwepeki mkuu hata mapadree na masister siku hizi wanaibia kimtindoMdogo wangu naona unatafuta pepo linalonitesa.
Achana naayo mambo nakushauri.
Mambo dada?Una sema " mambo Dada? Samahani unaenda wap? Akijibu... OK nimevutiwa na wewe kama itakupendeza naomba no. Ila kabla ya mtongozo jitathimini, uko smart? Sio umejivalisha vibaya utegemee akubali kirahisi.
Afu ongea kwa ustaarabu, pia kwanza muone kama mnaendana kiumri, watu wengi tuna tatizo la kudhalau wanaume wanaoonekana kama wavulana.
Yeeera ni mwendo wa 'Oraa mamilox nitoe apo chini fas ya duas nifekeche asee.Huku R,chuga hatuzunguki sana unasalimia kisha unamuliza, sister hapo kati niaje?
Ni real kabisa mkuu unacho kiongeakama sio mtu wa story na blah blah nyingi kumtongoza mtu tu mara ya kwanza kazi sana
Toa formula, ila isiwe kununua malaya tuπYaan mm toka nijue namna mpya ya kupata mademu bhc sihangaiki....nyuchi saiv n nyng mpk zngne nazikataa,nazipa refferal....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu mpo vizuri isee, inabidi nianze kutafuta maconfidence sema wengine sura zetu ngumu changamoto hiyo pia....unamsalimia demu hata salamu hakupi mpaka unaishiwa na pozi na kushindwa kuendelea hata na mada
πππππππukiwa huna mavi huwezi ona umuhimu wa choo, subiri mavi kijana.