Mtu anasoma ili aajiriwe au afute ujingaUjumbe huo ungefanya kazi miaka ya 80 huko, wasomi walikuwa wachache
Miaka hii Kila nyumba Ina wasomi na hawana ajira
Otherwise wanatakiwa wajiari kupitia vipaji vyao ama ujuzi wao
Vyote vinatumikaMtu anasoma ili aajiriwe au afute ujinga
Mimi binafsi elimu imenifikisha mahali ambapo kwenye jamii yangu hakuna aliyewahi kupafikia. Hata mimi sikuwahi kupawazia kama ningefika.ELIMU ELIMU ELIMU. Bila elimu sijui ningekuwa nafanya nini muda huu
Bila elimu bora hakuna mafanikio halisi. Planet earth inaongozwa na elimu, hapa Tanzania naona watu wazima tumeanzisha kampeni ya kipumbafu ya kubagaza elimu ionekane sio kitu si lolote matokeo yake tunalipoteza hili taifa kwa hii misimamo ya kipumbafu ya akinadotomagaliVyote vinatumika
Japo wengi wanasoma ili waje waajiriwe
Mambo ya kujiajiri yanataka mitaji, ambayo wengi wanakosa
Elimu haiwezi kuacha kuwa dili, inatakiwa ujue elimu na kuelimika ni vitu viwili fofauti. hao unao sema wamesoma ni kweli wamesoma na hakuna anayekataa eti hawajasoma ila ukweli mwingine ni kwamba wamesoma ila hawajaelimika.Dunia ya sasa elimu sio dili kuna wana kibao wamesoma wapo kitaa hawajui kesho yao inakuwa vipi na mfumo wa elimu bongo ni mbovu mno
Mie Bora nisingesoma tuAsubuhi na mapema nakutana na huu ujumbe. Naomba kuuliza kama usingesoma na kupata kibarua ulichonacho sasahivi ungekuwa wapi na unafanya nini?
Au na wewe ungesema Bora ningesoma😌
View attachment 3557298