Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Hahaa ila jaman hamna biashara inayolipa kama hii ya kuuza vigodoro vya hipsi na matako!woii wacha tuendelee kupiga pesa kariakoo
 
Ewaaaah

#kataakuwanaflatscreen#

Mambo ni motroooooo
Huyoo
IMG_20180405_205422.jpg
IMG_20180405_205401.jpg
IMG_20180405_205340.jpg
IMG_20180405_205316.jpg
IMG_20180405_205254.jpg
 
H

Huyo demu kiboko sema muhimu umemkubali alivyo kwa wazee wa kubeti tunaita both team to score.

Mie pia wangu anavaaga mara moja moja ingawa chura anae ila akinenepaga chura anamezwa kidogo. So anakuwa hajiamini flani kama kawaida yao ilivyo anatupia kigodoro ku boost ila kwangu mie siwazi. I see no difference maana nimeanza nae akiwa na frogi safi kabisa nainjoy kumoyo tu.
 
Back
Top Bottom