Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Ila amwambie aache kuvaa kigodoro itapendeza LoL! Urembo unatafutwa kwa gharama yoyote ile ikiwemo kununua kigodoro cha makalio. 😡😡😡

Mpende tu hakuna namna
 
Huyu dada hajiamini na wewe pekeake ndo unaweza kumbadilisha mindset yake ....... Mwambie babe nakupenda hivi hivi ulivyo huna haja ya kuwa unavaa vigodoro ,umpe maneno matam matamu kuwa unampenda alafu kile kidogoro chake unakifungia kabatin mda wa kuondoka unamwambia avae tu nguo za kawaida ikiwezekana mvalishe .........
Pole pole atajikuta anazoea kutembea bila kigodoro na baadae kuacha kabisa

Usipomrekebisha mda huu ipo siku ataweka mchina kabisa !!!
 
Umenikumbusha kuna manz mmoja wakat tupo college alikuwa anapenda sana kuweka sponji. Wakat wa kuvaa anasubir wenzake wote wasepe.
 
tatizo uraiani wamezoea kumuona na wezere
Huyu dada hajiamini na wewe pekeake ndo unaweza kumbadilisha mindset yake ....... Mwambie babe nakupenda hivi hivi ulivyo huna haja ya kuwa unavaa vigodoro ,umpe maneno matam matamu kuwa unampenda alafu kile kidogoro chake unakifungia kabatin mda wa kuondoka unamwambia avae tu nguo za kawaida ikiwezekana mvalishe .........
Pole pole atajikuta anazoea kutembea bila kigodoro na baadae kuacha kabisa

Usipomrekebisha mda huu ipo siku ataweka mchina kabisa !!!
 
FB_IMG_15199655916082924.jpeg
ndo mikato yao ya sasa
 
Da, hatari sana hiyo mi dushe iliwahi goma kabisa baada ya kuona hayo mazingaombwe. Na alinitaimu kwenye kuvua nikastukia tu vipaja vidogooo, no hips wala chura. Kwa kweli nilimwambia avae tuondoke.
 
Kuna dada wa offcn kwetu anavaa ivi vitu, sijui kwanini hamjikubali nyie viumbe
 
Back
Top Bottom