Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

1. Naona unawaongelea wengine sijajua upande wako. Unapopaka wanja, rosheni kiufupi kujiremba. Huwa mnajiremba kujipendezesha au kuwavutia wanaume?
2.Hivi ni kwann mwanamke anapopata shida hufikiria kutembea na wanaume kuliko kutafuta kazi halali ya kufanya? Utakuta kabinti ka shule msingi kakikosa sabuni au pedi anaanza kujihusisha na mapenzi ili apate hela au utakuta mwanamke kakosa kodi anatafuta bwana wa kumlipia.
3. Unajisikiaje mwanamke unapokuwa kwenye uhusiano wa wanaume wengi? Leo anakugonga huyu, kesho yule. How do you feel?
Umetoka nje ya madaaaaaa

#kataakuwanaflatscreen#
 
Hahahah!!... nilichokubali akaendeleza game,maana angeacha tungemlaum.
hahaa angeacha ..tungemtoa katika chama chetu aiseee"" sisi huwa tunapiga tu kufidia gharama na muda wetu ..then baada ya hapo ndio kibuti kinafuata"""
 
Hakuna sifa yangu hata moja hapo so ni vema nisikujibu
Hapana. Umeniongopea wala siyo kweli. Na hili ulikimbie
1. Kwann mnaomba sana hela? Ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke hata km umemtongoza leo haitapita siku 5 bila kukuomba hela.
2. Kwann papuchi zenu mnaweka km silaha? Ukigombana na mwanamke usiku lazima unywime papuchi na kuna wakati unapangiwa mchezo kwann?
 
Halafu amerelax kabisa anakwambia amevaa mchina,aisee.
 
Back
Top Bottom