Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Mimi naanzia usoni bana halafu utafuata sehemu zingine.
Si ndo mnavipenda lakini
Wengine hata sura hawaangalii, wao ni vigodoro tu
Mimi naanzia usoni bana halafu utafuata sehemu zingine.
Si ndo mnavipenda lakini
Elfu 20000/= tu usiwaone wadada wa mjini wanadengua dengua confidence wanatoa kwenye hivyo vigodoro![]()


mjini kila mdada ana kalio la hajaNapenda kigodoro shem
Sasa nyie si ndo mnasema hata tujirembe vipi mnatazama wowowoMimi naanzia usoni bana halafu utafuata sehemu zingine.
Wengine hata sura hawaangalii, wao ni vigodoro tu



Nataka hilo chimbo nimeona fursaNimejitolea kuwatangazia biashara wauza vigodoro wa kariakoo![]()


Ha ha haDuuuh kumbe!
Ila mie siachi kwa kweli
Eti niliamua kujilia mzigo japo alikuwa anasikitika kwa kuona chura imekalishwa kwenye kochi huku muhusika yupo on bed![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



alafu ukivaaa kigodoro unaenda kukivulia choon hapo sasa machale yanabak kwa mgegedajiYani ukiwa flat kama mimi utajikuta unaogopa hata kutoka njemjini kila mdada ana kalio la haja




Nimehisi kama nayagusaHahaa pole umehisi nini labda![]()

aiseeee rahaaa sana ujuee wowowo kubwaa ukifika home unavua unatabasamu jinsi wanaume walivyovunjaa shingooo




rohoni unasema laiti mngejuaNomaaaa sna mm siachi kigodoro mpaka wanaumee watakapoacha kupenda mawowowoHahahaa noma![]()
Mateso ya kuvunjika spinal code mmeyatafutaaa wenyeweeeJamani shingo zinauma halafu tukivaa neck bandage itabidi tugeuke mazima
Wakati mwingine inabidi tupige kelele tu kwa hasira
Kichwa cha chini hakijawahi kumuacha mtu salamaNimehisi kama nayagusa![]()
Halafu picha imeniijia![]()
![]()



Hahahaaa.alafu ukivaaa kigodoro unaenda kukivulia choon hapo sasa machale yanabak kwa mgegedaji
Alafu nafunga mkanda wa tumboIle butt lifter uipatie kwenye skinny
Unatabasamu tu watu wanavyogeuka
Na kung'oa kucha huko barabarani