Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,733
- 4,044
Mrejesho muhimundo nataka nifanye hivoo
Mrejesho muhimundo nataka nifanye hivoo
Tena inawezekana kazibuliwa kama Amber RuttyHapo ndiyo unatakiwa uoenyeshe ukomavu wa kisiasa maana ni wazi amefanywa hicho unachokifikiri.
Uanaume wako unastahili uchunguzwe kabisaDaaaah out off mood
Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.
Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee
wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Piga simu kwa wifi yake tena mpigie mwanaume mwenzako kumuuliza kama mkeo alifika hukoDaaaah out off mood
Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.
Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee
wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Daaaah out off mood
Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.
Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee
wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Pole sana. Mwanamke kwa simu ya mmewe hata atingwe vipi ikiita lazima aipokee. Na ikitokea emergency lazima haipiti dakika atapiga wee eti mpaka asubuhi huna mke hapo tena kazoea huyo mkongwe. Tumia busara utamkamata tu au kama unampenda hutaki talaka usimfuatilie kama unataka ujue yote Google app ya kuwakamatia gharama ni 50000 tu.Daaaah out off mood
Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.
Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee
wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
ni mara ya kwanzaKUWA MPOLE. KUTOKUPOKELEWA KWA SIMU AU KUTOJIBIWA MSG SI USHAHIDI KUWA AMEKUSALITI. HAYO NI MAMBO YANAYOUJITOKEZA TU LABDA ALIKUWA MBALI NA SIMU AU ALIJISAHAU TU.
INAELEKEA UNA WASIWASI SANA KUWA UMESALITIWA. JE HII NI MARA YA KWANZA AU YALISHAJITOKEZA TENA, NA ULIGUNDUA NINI KAMA YALISHAJITOKEZA TENA.
NB:
UKIWA MJAJA, KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI HUSIILETE HUKU UTAKUTANA NA MAJIBU YA KUKUKATISHA TAMAA
asante mkuuMkuu umechapiwa. Hivi roho ya uvumilivu wengine huwa mnaitoa wapi? Mie asipopokea simu tena kwenye mazingira tata kama hayo ugomvi wake si wa nchii hii. Anyway pole mkuu.
maeneo gani mkuu?Huyo my wife wako yukoje?
Maana jana nilikua na goma moja kazi ya nje lisije likawa ndio hilo.
MmmmmhDaaaah out off mood
Ipo hivi jana mwanamke wangu alinaiga akanambia anaenda mbezi kwa kaka yake ,Mke wa kaka yake amejifungua mtoto akaniaga vizuri akaondoka. Nikamuambia ukifika unambie akasema poa amefika hakusema nikampandia hewani akapokea tukaongea kidogo coz alikua anakula akasema tutaongea badae kimyaa nikamvutia waya hajapokea simu nika mute mda kidogo nikamvutia tena waya kimya simu haikupokelewa daaah.. nikamtumia text ajajibu ikabdi nilale zangu mpak asubuhii.
Asubuhi nikamtext kumjulia halii kimyaa baadae saana kwenye saa mida ya saa nne hivi ndo ananitafuta ananiambia kuwa eti jana alkua busy kumuangalia wifi yake na simu aliiyacha chumbani ikabidi tuu niwe mpolee maana nilikua sina namna.. na maeneno mengi aliongea ikabdi ni mute tuu aiseee
wakuu kwa mkasa huu nahisi nimechapiwa? au nimawzao yangu tuu finyuu?
Kesho utuletee mrejesho!!! Au baadae ukimaliza kumlando nataka nifanye hivoo