Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #601
Pamoja sana Mkuu! Shukrani..Bonge la story... Thank you
Pamoja sana Mkuu! Shukrani..Bonge la story... Thank you
Shukrani sana Mkuu..Hatimaye nimeisoma bonge la stori mkuu@The Bold heshima sana kwako!
Shukrani Mkuu..Kitu imeenda skonga.! Big up The bold.
Thanks..amazing
Zipo! Cheki youtubeKwere sana hii story hivi hamna documentary ake?
Kama Cooper yupo hai hadi Leo basi atakuwa ni mzee sana. Kipindi cha tukio alikuwa na miaka mingapi? (Nahisi pia hakuna anaejua)
Ila ye nae,si angepiga hata cm kuprove yu hai ili aondoe utata then ndo akatokomea jumla
Ww nenda katafute elimu kwanzaMkuu na Mimi nataka kuwasaidia FBI wanipe job waone