Yes ndio yeye! Yule Mzee mwenye paka kule ndani gerezani fox river..Mkuu kuna kitu kinanichanganya kuhusu huyo D.B copper wa kwnye prison break ndo yule alificha hela chini ya ardhi baadae ikaja kujengwa nyumba ya yule mama na walipotoka mission yao ikawa kuzisaka hela si ndio?
Sasa mbna ye aliingia jela kwa kosa la kusababisha ajali ya gari makusudi ili aibe fedha maan ye alkua transporter wa pesa za serikali na baad ya kuiba fedha zile alzokua anasafirisha ndo akazificha kwenye ile nyumba au we hukuona stor kama hyoYes ndio yeye! Yule Mzee mwenye paka kule ndani gerezani fox river..
Ile ni movie hiki nilichoeleza hapa ni tukio halisi!Sasa mbna ye aliingia jela kwa kosa la kusababisha ajali ya gari makusudi ili aibe fedha maan ye alkua transporter wa pesa za serikali na baad ya kuiba fedha zile alzokua anasafirisha ndo akazificha kwenye ile nyumba au we hukuona stor kama hyo
Haahahhaha! Umetisha Mkuu.. Ngoja niwape taarifa FBICoopper yupo mbeya analima kahawa
Waambie ila hela zite tushatumiaHaahahhaha! Umetisha Mkuu.. Ngoja niwape taarifa FBI
Hahahah! Haina shaka hela zitapatikana tu hizo kama mmetumia mbeya maana tulizimark zote.. Labda mkatumie chini ya bahariWaambie ila hela zite tushatumia
Hahahah! Asante sana Mkuu..Duuuh kuna watu mna The highest IQ kuanzia mwandishi hadi D.b.Cooper mwenyewe hongera.......
Shukrani..Thnks mkuu!!;
Shukrani..Daaah umetisha mkuu