naona ile dhambi yakuropoka bila ushaidi imeanza kumtafunaAmekamatwa kubaya!
Safìi sana
Safi sanaNgoja nami niongezee Mkuu safi sana!
Kama kweli ni mwandishi wa habari, ina maana hao wote hawajui kama ni mwandishi wa habari?Kwa macho.
Akiwa mtangazaji na kiongozi wa redio free afrika, alikuwa padri au ukiacha na uandishi wa habari unakoma hapo??
Njooni na hoja nzito, sio hii ya AKIJIFANYA NI MWANDISHI WA HABARI WAKATI INAJULIKANA NI MWANDISHI WA HABARI.
Sema hao watakuwa bavicha ndio wamemzuia asikae karibu nao.
mkuu huyo unayemwambia ndio musiba mwenyewe amebakiza kuanuliwa matanga tuKama kweli ni mwandishi wa habari, ina maana hao wote hawajui kama ni mwandishi wa habari?
Ndio mara yao ya kwanza kukutana naye hapo?
Kwa nini hajaonesha utambulisho kuwa yeye ni mwandishi wa habari?
Kwa nini kakubali kuondoka kama anasingiziwa?
Huoni kuwa kushutumiwa ilihali ni mwandishi halali ni kudhalilishwa mbele ya Bunge?
ameingizwa nawale wa ndio kila kituhumo ndani ameingiaje??
Mbona umeumia hivo, ndio ulikuwa umemtuma? Huwezi kuwini kila siku, kuna siku unapoteza na maisha yanaenda.Kwa macho.
Akiwa mtangazaji na kiongozi wa redio free afrika, alikuwa padri au ukiacha na uandishi wa habari unakoma hapo??
Njooni na hoja nzito, sio hii ya AKIJIFANYA NI MWANDISHI WA HABARI WAKATI INAJULIKANA NI MWANDISHI WA HABARI.
Sema hao watakuwa bavicha ndio wamemzuia asikae karibu nao.
Huyu jamaa ndio alama nzuri ya neno "kutumika".mkuu mimi nimwamndishi wa habari kitaluma huyu nikanjanja tu
Mbona huu mwandiko ni kama wa MusibaNdio ujiulize maswali sasa sio kufikirishwa tu. Cyprian Musiba ni mwandishi wa habari by profession.
Hizo picha hazihusiani na yeye kutolewa sababu ya uandishi wa habari, ni picha ya jambo lingine.
Tena haswa ile ya kiherehere!Njaa mbaya sana.
Musiba bhana " kwa kulazimisha mambo " hajambo!View attachment 757825 View attachment 757828
Ndugu Cyprian Musiba akitolewa nje ya ukumbi wa Bunge mapema leo na waandishi wa habari kwa kumshutumu kuwa sio mwandishi wa habari
Kumbe nalo ni libashite!Eti lijumbe la kamati ya ulinzi na usalama ya Bashite.Haliko tofauti na Nabii tito
Labda Professional ya Chato!Ndio ujiulize maswali sasa sio kufikirishwa tu. Cyprian Musiba ni mwandishi wa habari by profession.
Hizo picha hazihusiani na yeye kutolewa sababu ya uandishi wa habari, ni picha ya jambo lingine.