Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Ndugu Cyprian Musiba akitolewa nje ya ukumbi wa Bunge mapema leo na waandishi wa habari kwa kumshutumu kuwa sio mwandishi wa habari
Eti lijumbe la kamati ya ulinzi na usalama ya Bashite.Haliko tofauti na Nabii titoIlikua chanel ten Boya sana hili jamaa...
hivi kwa nini hakuitiwa "mwizi"? hapo ndiyo angetambua watu hatari hapa Tanzania ni akina nani haswa!!View attachment 757825 View attachment 757828
Ndugu Cyprian Musiba akitolewa nje ya ukumbi wa Bunge mapema leo na waandishi wa habari kwa kumshutumu kuwa sio mwandishi wa habari
teh teh tehhivi kwa nini hakuitiwa "mwizi"? hapo ndiyo angetambua watu hatari hapa Tanzania ni akina nani haswa!!
hawamu ya viwandaHakuna ulinzi basi hapo...
Sio anduje ni mrefu wastani tu niliwahi kupisha nae restaurant anatoka mi naingiaKumbe jamaa andunje hivyo