Wabongo wanaona hacking ni kama muujiza hvi.Eti inachukua miaka mingi Mara oooh zim master algorithms hahaha bullshit za wanafunzi wa CS ma vyuoni(wenye IQ ndogo).Kwahyo mnataka kutuambia kuwa ukimaster quick sort algorithim au greedy algorithim unakuwa hacker ? Mara kasome calculus linear differentiation what the **** hahaha Kuna uhusiano gani wa ku take advantage return to libc kwenye program execution na derivatives ?Naona Kuna mwanachuo mmoja humu ndani anajiita Graph anatutajia syllabus yake ya computer science chuoni .Shit bora hata ungesema kasomeni discrete mathematics kitu kama logic particularly predicative logic ambayo iko fundamental hadi kwenye malware.discrete probability maybe ukiwa unataka uchunguze collisions za kwenye encryption schemes but for real calculus??Hahah nimetumia metasploit na cjwahi ona derivatives kwenye zle Ruby exploits.Cjui wewe nani kakuambia kuwa calculus inakufanya uwe hacker lecture wako yule babu itakuwa.People we need change aisee we need people who can hack na cyo watu wakutoa ushauri wa jinsi ya ku hack.
Usisikilize ushauri wa wabongo(most of them hawajawahi hack na wana IQ ndogo).Wengine wanakushauri Lakini hata hawajawahi ona exploit.Wengine wanawaita wenzao script kiddies Lakini ukiwaletea exploit hawawezi isoma na kuielewa. Probably hawajawahi hata tengeneza.Na Wengine wanaongea sana kwenye forums za jf.System bongo zinaonekana secured kwasababu hazijapata fanatics kama wakina anonymous.We need to change people.Tunahitaji watu wanajua kufungua reverse TCP shells na ku escalate privileges,Tunahitaji watu wanajua reverse dlls na cyo wanafunzi wa computer science ma vyouni ambao hawajawahi hata hack wanajua definition tu na wanasoma hacking stories kwenye websites.
Alf by the way humu jf hamna hackers njooni kwenye forums hapo chini muone watu wanavyotengeneza malware.Njooni humo muone botnet admins na cyo wanafunzi wa chuo waliojifunza darasani definition yake darasani wakaenda kitaa kuanza jitangaza mafundi.
Have a nice day.
https://hackforums.net