Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
ningependa kufahamishwa namna ya kuficha my ip address, naamini hilindio jambo la msingi kabla ya mengine kufuata.......
Iwapo haulipii service ya Static IP adress,ambayo inakua personal mpaka utakapostisha malipo,Hakuna haja ya kuficha IP adress uki disconnect device yako ISP wako atakupa IP adress na ulotumia kufanya mambo yako atapewa mwingine 🙂
Ila kama unataka hilo haina shaka waweza kutumia Opera Browser au VPN browser extensions e.g Dot VPN for chrome au Free VPN apps za OS yako zipo nyingi uki google utaona!