Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Nadhani wewe ni mmoja wa watu mnaofanya kazi huko CWT....hamuwezi kutmia zaidi ya milioni 200 kuhamasisha mgomo wa walimu hali mkijua wiki ijayo shule zinafungwa na mwalimu atatakuwa nyumbani, sasa huo mgomo utakuwa effect gani kwa serikali au wewe ni kilaza hujui hata kufikiria na kuona faida na hasara kwa pande hizi zote mbili...sio unaropoka tu ndugu!
Usidanganye watu. Walimu wakiamua kugoma hata kipindi hiki inawezekana kabisa. Walimu hata wakati wa likizo wanapaswa kuwa mashuleni. Likizo ni kwa ajili ya wanafunzi. Mfano mzuri shule yetu form 4 na 2 wanatakiwa kuendelea na session zao kipindi hiki. Sasa unasemaje timing imekosewa ?
Wahamasishe walimu kushiriki mgomo huu waache uwoga.
Zaidi unaweza kuonana na rais wa CWT ukampa mawazo yako ili usaidie walimu.
Mgomo umefuata utaratibu, inawezekana mgomo umeangukia mahali ambapo si pazuri lakini msiwakatize walimu tamaa.
Huu ukishindikana mgomo baridi unakuja. Tusubiri .