DANNFORD
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 369
- 289
Kama angefanya mkutano na makondakta na madereva ingekuwa bora zaidi!!Ila kama nitakuwa sijakosea kwa kauli aliyoitoa Makonda alisema pande zote waliafikiana(wamiliki wa daladala na waaalimu). So it means huyu jamaa ameudanganya umma wa watanzania???