Clouds wananufaika vipi na mgogoro wa chama cha walimu? Naona wamekusanya chawa studio, TUCTA iliuawa kwa njia kama hizi

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna Serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja. Wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja. Juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa. Waalimu amkeni mjiongoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
 
Acha upuuzi basi.
Maganga yuko hapo tangia Magufuli akiwa madarakani na alisitisha kupandisha watumishi madaraja na mishahara kwa pamoja msimamo wa Maganga hatukuusikia wala kuuona.

Au unachanganya kiburi na msimamo ndio maana unaandika upuuzi huu woote?
 
Acha upuuzi basi.
Maganga yuko hapo tangia Magufuli akiwa madarakani na alisitisha kupandisha watumishi madaraja na mishahara kwa pamoja msimamo wa Maganga hatukuusikia wala kuuona.

Au unachanganya kiburi na msimamo ndio maana unaandika upuuzi huu woote?
Kwani Maganga kaanza kazi mwaka gani?

Wewe jamaa unaroho ngumu.
 
Acha upuuzi basi.
Maganga yuko hapo tangia Magufuli akiwa madarakani na alisitisha kupandisha watumishi madaraja na mishahara kwa pamoja msimamo wa Maganga hatukuusikia wala kuuona.

Au unachanganya kiburi na msimamo ndio maana unaandika upuuzi huu woote?
Mishahara na madaraja kipindi cha JPM haikupanda kwa watumishi wote wa umma si kwa walimu tu. Maganga si kiongozi wa TUCTA ulitaka afanye nini? Walimu kuweni na msimamo kama walivyofanya cha wanasheria (TLS) kipindi fulani. Serikali ya CCM ina watu walafi sana.
 
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma ; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja.....wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja.......juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa.....waalimu amkeni mji9ngoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
Mkuu TUCTA ilikufa lini?
Ninavyojua TUCTA ni shirikisho la vyama vyote vya wafanyakazi unasemaje imekufa wakati vyama vipo..
Rais Wa TUCTA bado yupo na anasimamia vyama vyote ikiwemo hiyo CWT,TUGHE ,Na TALGWU
 
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma ; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja.....wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja.......juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa.....waalimu amkeni mji9ngoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
Pumbafu zako unaona watu wajinga? Mnataka sherehe za mabilioni ili mjinufaishe huku mnaowaongoza wananjaa na stress za umaskini. Benk imewashinda mnawaza matumbo yenu tuu hamna adabu! Jibu hoja za hao clouds sio kujaza ujinga humu na siasa Mafi. Pmbavu sana!!!
 
Acha upuuzi basi.
Maganga yuko hapo tangia Magufuli akiwa madarakani na alisitisha kupandisha watumishi madaraja na mishahara kwa pamoja msimamo wa Maganga hatukuusikia wala kuuona.

Au unachanganya kiburi na msimamo ndio maana unaandika upuuzi huu woote?
Kuwa na kiburi pia ni msimamo.walimu waachane na ujinga wa maCCM vinginevyo wataliwa vichwa.hizi ni mbinu ya maCCM kuisambaratisha Cwt ili mambo yao yanyooke.
 
Mkuu TUCTA ilikufa lini?
Ninavyojua TUCTA ni shirikisho la vyama vyote vya wafanyakazi unasemaje imekufa wakati vyama vipo..
Rais Wa TUCTA bado yupo na anasimamia vyama vyote ikiwemo hiyo CWT,TUGHE ,Na TALGWU
Viongozi wa TUCTA wapo ndiyo, je waliopo sasa hivi wapo kwa ajili ya maslahi ya wafanyakazi au serikali? Kuwepo ni jambo moja, je wanatekeleza wajibu wa kuwepo kwao? Hotuba ya mei mosi kwa mwajiri wa umma tuliisikia ilivyojaa sifa na pongezi kuliko wanavyofanya chawa wa mama. Kwa sifa zile ni kama vile kima cha chini cha mishahara kwa wafanyakazi ni kikubwa sana. Viongozi waliopo sasa hivi ni zaidi ya chawa.
 
Viongozi wa TUCTA wapo ndiyo, je waliopo sasa hivi wapo kwa ajili ya maslahi ya wafanyakazi au serikali? Kuwepo ni jambo moja, je wanatekeleza wajibu wa kuwepo kwao? Hotuba ya mei mosi kwa mwajiri wa umma tuliisikia ilivyojaa sifa na pongezi kuliko wanavyofanya chawa wa mama. Kwa sifa zile ni kama vile kima cha chini cha mishahara kwa wafanyakazi ni kikubwa sana. Viongozi waliopo sasa hivi ni zaidi ya chawa.
Kwahyo shida ni Viongozi na Sio Taasisi?
Kikubwa katika TUCTA ni kumuondoa Rais na katibu wake vingine vitakuwa sawa..

Ila kusema TUCTA imekuwa wakati huo TUCTA ndo inasimamia hata hiyo CWT yenu na TUGHE na TALGWU sio sawa
 
Kuna watu wapo kwenye siasa wanataka kuwaweka ndugu zao waongoze chama cha walimu Tanzania. Kuna watu wapo kwenye mfumo wa CCM wanataka kukimiliki chama cha walimu Tanzania

Kufanikisha malengo yao wamewachukua Makada wa CCM na kuwapeleka studio kutimiza malengo yao.

Tuliona namna Serikali ilivyokuwa ikibanwa na akina Mgaya wa TUCTA miaka ya nyuma ; maslahi ya wafanyakazi yakawa agenda kwenye mei mosi. Baada ya serikali kuona akina Mgaya wana nguvu wakaweka Makada wa chama cha mapinduzi. Since then hakuna anayeweza kupigania maslahi ya watumishi

Leo CWT wamepata watu wenye msimamo, serikali na chama cha mapinduzi wanaona kama uimara wa viongozi hawa utawasumbua hasa kusimamia fedha za walimu zisiliwe na wajanja.....wakawateua kuwa wakuu wa wilaya ili wakawatumbue , wao wakawa wajanja.......juzi wamewasimamisha kazi bado msimamo wao upo palepale

Leo baada ya mbinu hizi chafu kufeli wameibukia kwenye vyombo vya habari kwa kuandaliwa watu wakusukuma agenda. Clouds wapo behind huu mchezo na soon utaona vyombo vyote vya habari vinaimba huu wimbo kama walivyofanya kuiua TUCTa.....waalimu amkeni mji9ngoze achaneni na huu mfumo wa kuchaguliwa nani wawaongoze. Mtaishia kudharaulika
Moja ya watu wamewahujumu watanzania ni walim,
 
Acha upuuzi basi.
Maganga yuko hapo tangia Magufuli akiwa madarakani na alisitisha kupandisha watumishi madaraja na mishahara kwa pamoja msimamo wa Maganga hatukuusikia wala kuuona.

Au unachanganya kiburi na msimamo ndio maana unaandika upuuzi huu woote?
Bora umeongea ukweli. CWT yenye msimamo ni ipi? Hii ya sasa ambayo haieleweki?
 
Nashukuru sana,sikatwi tena CWT,CWT wamelaaniwa wao na vizazi vyao vyote kwa kutumia VIBAYA hela za wafanyakazi maskini Walimu. MLAANIWE MILELE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom