CWT yapinga walimu kusafiri bure

CWT yapinga walimu kusafiri bure

Sifa nyingine bwana ni hatari,sasa hata mwalimu hujaongea nae kama anashida ya nauli,unakurupuka tu ,unataka wasafiri bure kwenye daladala!!basi waambie wakachukue na mboga bure kariakoo!!!
Hahahahahahahahajah you made my day mkuu nimecheka mpaka basi.
 
Ukuu wa wilaya kaupata kwa kudunda mxee wa watu mlitegemea nini
 
Daa ila muda mwingine hawa madreva wanashida.....au serikali inawafidiaga watu wa bure kibao
 
Sifa nyingine bwana ni hatari,sasa hata mwalimu hujaongea nae kama anashida ya nauli,unakurupuka tu ,unataka wasafiri bure kwenye daladala!!basi waambie wakachukue na mboga bure kariakoo!!!
Ila kama nitakuwa sijakosea kwa kauli aliyoitoa Makonda alisema pande zote waliafikiana(wamiliki wa daladala na waaalimu). So it means huyu jamaa ameudanganya umma wa watanzania???
 
Nahc kama kunajambo ambalo makonda alishauriwa vibaya ni hili, swala la waalim kupanda magar buree ni unyanyasaji wa kijinsia, tena ni ubaguzi wa hali ya juu, na hii inataka kuchora pc kuwa waalim wanapata mshahara mdogo sana..

Hoja isingekuwa kuwasafirisha waalim bure ila wangetatua changamoto za waalm kwa kuboresha masilhi yao, na kuondoa changamoto zao, waalim hawana haja ya kutokulipa nauli,

Au makonda angekuja na hoja y usafiri wao kama puplic car au kuwakopesha vifaa vya usafr kwa mashart nafuu, haiingii akilin waalim kusafr buree watapata shida isiyokuwa na tija

Sina uhakika kama waalim watakubali, kwa mara ya kwanza katika uhai wangu wa jf naungana na g.mkoba..
 
!
!
Binafsi nimshukuru Bwana Mahkonda kwa hili. Huenda alifanya kwa mizuka tu ya kupenda sifa na kiherehere lakini ataibua mjadala wa uhalali wa kada nyingine kama Polisi na wanajeshi kupanda daladala bure na kwa nini sio manesi na madaktari.
Sijui nikutukane? Mtu kakesha nje we umelala kwa raha zako na mumeo then aanze tu kutoa nauli... Yaani afanye kazi mbili alipe huku akiendelea kukulinda...!!!!!
 
Hili wazo la Makonda likataliwe kwa nguvu zote. Halitekelezeki na lina lengo la kumdhalilisha mwalimu ili Makonda apate sifa. Walimu msikubaliane na hili wazo bovu la karne ya 21.
 
Walimu subirini muyaone manyanyaso na matusi ya makondakta wa daladala.
Anafika kituoni anasema hata wale walimu kitambulisho juu! Mnanyoosha saba anasema nachukua wawili tuu na bus lina nafasi. Linakuja lingine mikono juu, ingia watatu. Nani ataweza manyanyaso hayo?
Suluhisho ni kuwapa transport allowance au kuamuru magari ya serikali yawe yanasimama vituoni na kutoa lift
 
Makonda hilo Ndio liko ndani ya uwezo wake, hayo mengine pia yanahusika ...binafsi naona amefanya vema kama kuna mapungufu Kwenye hilo ni changamoto tu
 
Hivi ni kweli walimu wana shida na nauli ya kwenda kazini? Hapana walimu hawana shida ya nauli isipokuwa walimu wana shida ya mshahara mdogo,malimbikizo yao toka kipindi cha Kikwete,kutopanda vyeo na mazingira duni ya kazi
Hivyo hayo ndio baadhi ya matatizo ya msingi waliyo nayo walimu na sio nauli ya daladala
 
Hili wazo la Makonda likataliwe kwa nguvu zote. Halitekelezeki na lina lengo la kumdhalilisha mwalimu ili Makonda apate sifa. Walimu msikubaliane na hili wazo bovu la karne ya 21.
Ni kama umetoe kauli za wivuu hv.
 
Sasa mzee wa majipu atamuelewa vizuri makonda, na aache kumsifia maana siku atakapo kuja kufanya jambo la aibu wataaibika wote
 
Nilisha sema humu ndan na narudia tena ktk Wakuu wa Wilaya wa ovyo kabsa toka tupate Uhuru Makonda ni namba1, hivi kwann asingefanya mpango huwo kwa wanafunz wakapanda bure!!
 
mimi sioni tatizo kwani itakuwa ni lazima kila mwalimu asafiri bure ? au itakuwa kwa anayetaka tu?
Utajisikiaje ukija kugundua mwenyekiti wa mtaa na viongozi wengine walikuwa wanakufanyia kikao cha kukununulia suruali na shati, kwa sababu kwa tathmini zao wewe una maisha magumu? Utashukuru au?
 
mimi nadhani serikali ingefanya hivi kama kweli inawapenda walimu ingewaongezea mishahara pia wapate na posho sikuona 7bu yoyote ya kusema walimu wapande bure hilo la bure ingependeza wangewaambia wanafunzi wote wapande bure kwa sababu hawa wanafunzi hawalipwi mishahara xo namshauri mkuu wangu wa wilaya dc makonda wazo lake sio baya ila bado hajawasaidia kitu walimu kama kweli anawapenda awasidie waongezwe mishahara pia wapewe posho hapo atakuwa kawasaidia kwa asilimia 80 ya matatizo yao
 
Yeye Mkoba hajui shida za walimu badala ya kushukuru yeye anaanza kulaumu ,nia apate ujiko kuwa alishiriki kufanikisha hilo jambo,huo ni wivu wa kike,jeyeye na chama chake ni kipi wamefanya kusaidia waalimu kuondokana adha ya maisha duni na tabuwanazopata kila siku
Na wanafunzi je hao ndo wana uwezo kuliko walimu????
 
Back
Top Bottom