Nahc kama kunajambo ambalo makonda alishauriwa vibaya ni hili, swala la waalim kupanda magar buree ni unyanyasaji wa kijinsia, tena ni ubaguzi wa hali ya juu, na hii inataka kuchora pc kuwa waalim wanapata mshahara mdogo sana..
Hoja isingekuwa kuwasafirisha waalim bure ila wangetatua changamoto za waalm kwa kuboresha masilhi yao, na kuondoa changamoto zao, waalim hawana haja ya kutokulipa nauli,
Au makonda angekuja na hoja y usafiri wao kama puplic car au kuwakopesha vifaa vya usafr kwa mashart nafuu, haiingii akilin waalim kusafr buree watapata shida isiyokuwa na tija
Sina uhakika kama waalim watakubali, kwa mara ya kwanza katika uhai wangu wa jf naungana na g.mkoba..