CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

I have reasons
1. Walio wengi walimu ni "failures" academically, sijawahi kumuona mtu wa Div 1 amemaliza form 4/6 kaenda ualimu, hivyo kwao kuwa pale ni favour, hawawezi kupigania haki zao maana wanajua hata kuwa kwenye ualimu ni favour
2. Kwa mtu kama huyo kupigana haki zake ni ngumu maana anajua mapungufu yake.
3. Mishahara yao ni midogo, hivyo mtu hana muda wa kutetea haki zao , anaona afdhali atumie muda kujiongezea kipato
4. Wengi wako vijijin ambako wanachofanya ni ulevi na "kuoa"........ wamekuwa damped kuozea huko.......


5 Nitaongezea baadaye
Mzazi anamponda mwalimu kwa Ni failure ana mdharau kweli kweli

Halafu anampeleka mwanae akafundishwe na Huyo huyo mwalimu

Sasa unadhani Kati ya mzazi na mwalimu Nani Ni kilaza ?

Si angempeleka kwa mainjinia au madaktari wamfundishe Hadi chekechekea Hadi chuo kikuu.

Au amfundishe nyumbani kwake.

U can't be serious walimu wanastahili heshima pia nyie msiwadharau wale watu .

Halafu baadae mwanao akipata one au two unaniona kichwa kumbe kuna watu walifanya bidii nyuma ya hio one two.

Upumbavu Ni kipaji
 
U can't be serious walimu wanastahili heshima pia nyie msiwadharau wale watu .
Nani kasema hawastahili heshima? Wanastahili heshima kama yeyote navyostahili heshima, lkn ukweli unabaki kuwa ONE na TWO huwezi kuzikuta kwenye ualimu, hoja yangu ni hiyo!
 
Alafu Kuna wajinga wengi wanadai walimu hawawez kutetea maslah yao kisa hawana div 1 Kama kada zingine
Sasa swal langu dogo naomba nijibiwe kwa kupewa mifano ,je Ni kada ipi ambayo inajielewa na ikatetea maslah yao na maslahi yao yakapatikana kuanzia 2015-2020 maana isiwe mnarusha tu lawama kwa walimu wakat kila sekta uoga Ni ule ule .tafadhar nipen jina la sekta ambao sio waoga
Wabunge bhana
 
Nani kasema hawastahili heshima? Wanastahili heshima kama yeyote navyostahili heshima, lkn ukweli unabaki kuwa ONE na TWO huwezi kuzikuta kwenye ualimu, hoja yangu ni hiyo!
Nina marafiki kibao Wana one na two wako kwenye ualimu

Wengine wako kwenye hio fani sababu ya changamoto za ajira walifocus wakaona hawana pakutokea hawana mjomba wa kuwashika ndio wakaelekea huko

Kama hujawaona Ni kwenye cycle yako Ila Mimi nawajua kibao tu
 
Back
Top Bottom