simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Guys,
Kuna jamaa yangu mmoja ana certificate ya Machenical tu lakini juzi amekwenda interview kwa Kazi ya Manager mahala flani na Wahatimu wenye Masters Degree na amewapiga chini na Jamaa kala kazi ! Cheti sio tija ni skills & experience tu
what a heartbreak breaking newzer.