Cv ya saed kubenea..

uko hapa uonekane unafanya kazi au umejituma tu kwa hobby zako .hatuko tayari vinginevyo anzisha mada ya mvuto badala ya kujadili kubenea ,unapoishi bila shaka yapo matatizo yanayoikabili jamii husika yaweke hapa tutaunga hoja mkono ,hili la kuchokonoa watu nasema no THANK YU
 
haaa leonimejua neno hili,kumbe ni mfanyakazi wa bhakresa mi nilijua naniliu ndo kammwagia tindi kali
 
uko hapa uonekane unafanya kazi au umejituma tu kwa hobby zako .hatuko tayari vinginevyo anzisha mada ya mvuto badala ya kujadili kubenea ,unapoishi bila shaka yapo matatizo yanayoikabili jamii husika yaweke hapa tutaunga hoja mkono ,hili la kuchokonoa watu nasema no THANK YU
kila la kheri subiri mtu aitishe cv ya nape ndio urudi tena si ndio mambo mnayopenda kusikia
 
Wanangu kuweni wakweli kuwa Kubena amepata umaarufu si kwa kuandika lolote tofauti na wengine zaidi ya kumwagiwa tindikali. Sioni umahiri wa Kubenea kuliko mwalimu wake Ndimara Tegambwage. Tukubaliane. CV ya Kubenea ni dhaifu au tuseme skiny. Hana elimu yoyote unayoweza kuiita elimu zaidi ya umaarufu utokanao na ushabiki wa kibubusa. Laiti wengi wangejua mengi yanayoonekana kuandikwa na Kubenea yanaandikwa na watu kama Ansbert Ngurumo, Tegambwage na Bonephace na wengine wengi. Kwa ufupi ni kwamba Kubena anakimbizana na Diploma, just a diploma in Journalism. Hii maana yake ni kwamba hana CV yoyote inayolingana kile watu walichompachika kutokana na kutomjua vizuri. Hata hiyo tindikali aliyomwagiwa inasemekana si kwa msimamo wake wala upiganaji wake zaidi ya uzinzi wa kawaida.
 
Tatizo letu tumewekeza sana kwenye makaratasi badala ya performance....ndio maana tutazidi kupigwa bao kwenye soko la ajira za kimataifa.....CV yake ni kazi anayofanya na kama unamkubali ni shujaa hiyo ndiyo CV yake kwani wapo wanaoweza kuwa na elimu kubwa kuliko yeye lakini wakashindwa kufanya ayafanyayo....

mkuu umenena ume tumia JF efectively.
 
A degree and degrees are not skills.Kuna jamaa zangu wengi tuu wamehitimu degree za ualimu(science).Lakini hawawezi kuandaa solutions za practicals.Huwaomba msaada jamaa zao wenye diploma.Tuwe makini na degree za kuchonga(fake).
 
elimu ni uwezo si cheti.hata angekuwa na certificate lkn anachodeliver ni zaidi ya mwenye Phd
 
Huyu shujaa haitaji CV zaidi ya kazi nzuri anayofanya. Hivi unajua kwa wale ambao wamesoma na vibatari anaweza asionekane na A's katika vyeti kumbe mazingira tu ndiyo yalimfanya asifaulu vizuri na pale ambapo anapata upenyo akiwa mtu mzima anatoka kwa first class? Hivi unafahamu kuna watu ambao walipata post za ualim kidato cha nne only because hawakuwa na facility kama zako wewe uliyesoma Academy? na baadaye wanakuwa professors? Nina mifano mingi, na kwa taarifa maprofessor wengi wameanzia ualimu!!! Na kuna ambaye ni Professor medical na alikuwa secretary and one of our high profile fimale executive katika serikali yetu was also a secretary at one the key ministry and now is a Doctorate fellow? Hivyo CV zaweza kupotosha na ndiyo hata wale waibaji wa vyeti vya NECTA nao utasema wana akili kwa kuwa vinasomeka Division One? Performance yako na vyeti vyako ni subjective!!!!!

Acheni Uduwanzi nyie, wapeni wadau CV ya kibaraka huyo wa CDM. Elimu bila cheti maanake nini?
 
Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.

Afadhali umekiri wazi wazi kuwa Dr. Slaa atachukua nchi!
 
acheni uduwanzi nyie, wapeni wadau cv ya kibaraka huyo wa cdm. Elimu bila cheti maanake nini?

jina laweza kueleza wasifu wa ndani,kwa kweli we ni pimbi,watu wanjadili hoja we unajadili mtu
 
Jadilini hoja muache kudadili watu,cdm imeingiaje kwenye cv ya kubenea? Au cdm ni shule? Au slaa ni chuo?
 
Kwanini mnafanya jitihada za makusudi namna hii kujaribu kuficha cv yake?kuna kitu gani hamtaki kijulikane?mbona ya ephraim kibonde tuliililia mpaka mwiso wake zikapatikana results zake za mtihani wa form four,why not kubenea,yeye ana nini mpaka aachwe?

Hizi hasira zinaonyesha fika ya kuwa huna nia njema wewe kiumbe. Hebu tuambie umetumwa na nani?
 
Said Kubenea yupo Holand, Ede Christian University anachukuwa course ya uandishi wa habari...ndoto zake ni kuwa muandishi wa Dr Slaa atakapochukuwa nchi.

Oh, at last magamba yameanza ku-admit yenyewe sasa. Ndio maana yanapigania mgombea binafsi na raisi kupunguziwa madaraka kwenye katiba mpya!!
 
Kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio toa kilichopo jichoni mwako kwanza.
Mi nahis ungeanza kuianika CV yako then nitakuwekea ya Mr kubenea,ukishndwa kuweka yako utaikosa ya Mr kubenea.
 
Guys,
Kuna jamaa yangu mmoja ana certificate ya Machenical tu lakini juzi amekwenda interview kwa Kazi ya Manager mahala flani na Wahatimu wenye Masters Degree na amewapiga chini na Jamaa kala kazi ! Cheti sio tija ni skills & experience tu
 
In short, S. KUBENEA hana CV, kwa kuwa hata akiandika itakuwa mstari mmoja tu! Alimaliza shule ya msingi kule Mafia, kisha akaja Dar na Bagamoyo kufanya utapeli! Kwa kuwa ana ujanja wa mjini, waandishi wakawa wanamtumia kutafuta story! Kisha akabadili dini na kujiunga CHADEMA, sasa anasomea Uinjilisti kule UHOLANZI!
Acha chuki na unafiki wewe.....khaaaaaa
 
A degree and degrees are not skills.Kuna jamaa zangu wengi tuu wamehitimu degree za ualimu(science).Lakini hawawezi kuandaa solutions za practicals.Huwaomba msaada jamaa zao wenye diploma.Tuwe makini na degree za kuchonga(fake).

kwani kubenea ana degree ya kuchonga?!!
 
Back
Top Bottom