Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
makubwaNdio maana nikakwambia ni communication specialist,ukimuona kama Ndezi bado hujampa sifa stahiki
Huwa anapiga sehemu kwa wakati sahihi,halafu anarudi baada ya siku mbili kufanya assessment,na hata thread iwe na page 100,ana uwezo wa kupitia kila comment na hajui kutukana mtu



saa hii kalala