Sultan Zuwera
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 246
- 339
Kuna sifa moja ya Paschal Mayalla ambayo haijaandikwa humu ni kwamba kabla hajawa mtangazaji wa radio na TV alikuwa ni askari wa JWTZ (Airwing) kilichopo Majumba sita Ukonga D'Salaam ambacho kwa sasa kinaitwa Air Transport Station, na Kozi ya awali ya Uanajeshi aliifanyia Kunduchi. Mimi binafsi nilikuwa naye Kikosi kimoja wakati huo Wanajeshi walikuwa na maslahi duni sana.

!Kumbe naye ni miongoni?