Mimi naomba CV ya Prof. Maji Marefu!!!!!
na cv ya Jah people(Deo Sanga) usisahau
Mimi naomba CV ya Prof. Maji Marefu!!!!!
watanzania wengi wamelogwa!hata ukiwa na mkuu wa wilaya profesa inakusaidia nn?! Hata sie wenye elimu za chuo kikuu yena vile vinavyotambulika tunafaham namna elimu ilivyo na nafasi ndogo katika uongozi! Hivi unahitaji kuwa na degree kujua kuwa jimbo lako lina uhaba wa maji?! Yaan watu wapo radhi kuponda elimu ya Sugu huku hao wasomi mliwapa wizara wanafanya madudu tu! Kila kitu hovyo mnajadili jambo lisilo na tija; kama ni chuki binafsi ni vyema ukaipeleka kwenye magazeti ya udaku! Katiba inamruhusu Sugu kwa elimu yake kugombea na kuwa mbunge!
Kwa nini unalalamika? wakati wewe mwenye uwezo zaidi yake haujitokezi kugombea nafasi kama hiyo? wananchi waliona kati ya waliokuwepo kwenye kinyanganyiro huyo alikuwa bora kuliko wote, kwa hiyo ikabidi wamchanguwe.
poor thread kama hizi zinaaibisha great thinkers
leo wakati napitia profile za wabunge wetu. nimeshitushwa na hii ya mheshimiwa huyu. hivi kweli huyu anawezaje kuichambua vizuri hata sera ya afya nchini kwa ufasaha ukiachiliambali uwezo wa kujieleza mbele ya wawekezaji wakigeni au hata wabunge wa bunge la ulaya ? kuna haja ya katiba kuondoa madudu kama haya. lazima tuweke watu wenye weredi bungeniwanaoweza kuchambua kwa taaluma hesabu na matumizi ya nchi kwa kuzingatia weredi na maslahi ya taifa na vipaumbele vya maendeleo.
kama tutaacha uchumiwa nchi utumikie siasa hatutafika popote japo tutabaki kuwa kisiwa maskini cha amani !
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
[/TD]![]()
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Osmund[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Joseph[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mbilinyi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Mbeya Mjini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 815, Mbeya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 716 627344[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]jmbilinyi@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]1 May 1972[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Sabasaba Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sisimba Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sokoine Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ligula Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Mbeya Urban Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BP Tanzania Limited[/TD]
[TD]Security Officer[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Self Employed[/TD]
[TD]Celebrity[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
leo wakati napitia profile za wabunge wetu. nimeshitushwa na hii ya mheshimiwa huyu. hivi kweli huyu anawezaje kuichambua vizuri hata sera ya afya nchini kwa ufasaha ukiachiliambali uwezo wa kujieleza mbele ya wawekezaji wakigeni au hata wabunge wa bunge la ulaya ? kuna haja ya katiba kuondoa madudu kama haya. lazima tuweke watu wenye weredi bungeniwanaoweza kuchambua kwa taaluma hesabu na matumizi ya nchi kwa kuzingatia weredi na maslahi ya taifa na vipaumbele vya maendeleo.
kama tutaacha uchumiwa nchi utumikie siasa hatutafika popote japo tutabaki kuwa kisiwa maskini cha amani !
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Salutation
[/TD]
[TD]Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
![]()
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:
[/TD]
[TD]Osmund
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:
[/TD]
[TD]Joseph
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:
[/TD]
[TD]Mbilinyi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:
[/TD]
[TD]Mbeya Mjini
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:
[/TD]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:
[/TD]
[TD]Box 815, Mbeya
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:
[/TD]
[TD]+255 716 627344
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:
[/TD]
[TD]jmbilinyi@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:
[/TD]
[TD]Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth
[/TD]
[TD]1 May 1972
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date
[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Sabasaba Secondary School
[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1990
[/TD]
[TD="align: center"]1991
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Secondary School
[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1988
[/TD]
[TD="align: center"]1990
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sisimba Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1986
[/TD]
[TD="align: center"]1987
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sokoine Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]1986
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ligula Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1981
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name
[/TH]
[TH="align: center"]Position
[/TH]
[TH="align: center"]From
[/TH]
[TH="align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania
[/TD]
[TD]Member - Mbeya Urban Constituency
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[TD="align: center"]2015
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BP Tanzania Limited
[/TD]
[TD]Security Officer
[/TD]
[TD="align: center"]1998
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Self Employed
[/TD]
[TD]Celebrity
[/TD]
[TD="align: center"]1994
[/TD]
[TD="align: center"]1998
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]Member
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
leo wakati napitia profile za wabunge wetu. nimeshitushwa na hii ya mheshimiwa huyu. hivi kweli huyu anawezaje kuichambua vizuri hata sera ya afya nchini kwa ufasaha ukiachiliambali uwezo wa kujieleza mbele ya wawekezaji wakigeni au hata wabunge wa bunge la ulaya ? kuna haja ya katiba kuondoa madudu kama haya. lazima tuweke watu wenye weredi bungeniwanaoweza kuchambua kwa taaluma hesabu na matumizi ya nchi kwa kuzingatia weredi na maslahi ya taifa na vipaumbele vya maendeleo.
kama tutaacha uchumiwa nchi utumikie siasa hatutafika popote japo tutabaki kuwa kisiwa maskini cha amani !
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Salutation
[/TD]
[TD]Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
![]()
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:
[/TD]
[TD]Osmund
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:
[/TD]
[TD]Joseph
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:
[/TD]
[TD]Mbilinyi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:
[/TD]
[TD]Mbeya Mjini
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:
[/TD]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:
[/TD]
[TD]Box 815, Mbeya
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:
[/TD]
[TD]+255 716 627344
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:
[/TD]
[TD]jmbilinyi@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:
[/TD]
[TD]Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth
[/TD]
[TD]1 May 1972
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date
[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Sabasaba Secondary School
[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1990
[/TD]
[TD="align: center"]1991
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Secondary School
[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education
[/TD]
[TD="align: center"]1988
[/TD]
[TD="align: center"]1990
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sisimba Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1986
[/TD]
[TD="align: center"]1987
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sokoine Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]1986
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ligula Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]1981
[/TD]
[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name
[/TH]
[TH="align: center"]Position
[/TH]
[TH="align: center"]From
[/TH]
[TH="align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania
[/TD]
[TD]Member - Mbeya Urban Constituency
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[TD="align: center"]2015
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BP Tanzania Limited
[/TD]
[TD]Security Officer
[/TD]
[TD="align: center"]1998
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Self Employed
[/TD]
[TD]Celebrity
[/TD]
[TD="align: center"]1994
[/TD]
[TD="align: center"]1998
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]Member
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
ndiyo katiba inamruhusu lakini ni mnunge asiye na mchango wa maanawatanzania wengi wamelogwa!hata ukiwa na mkuu wa wilaya profesa inakusaidia nn?! Hata sie wenye elimu za chuo kikuu yena vile vinavyotambulika tunafaham namna elimu ilivyo na nafasi ndogo katika uongozi! Hivi unahitaji kuwa na degree kujua kuwa jimbo lako lina uhaba wa maji?! Yaan watu wapo radhi kuponda elimu ya Sugu huku hao wasomi mliwapa wizara wanafanya madudu tu! Kila kitu hovyo mnajadili jambo lisilo na tija; kama ni chuki binafsi ni vyema ukaipeleka kwenye magazeti ya udaku! Katiba inamruhusu Sugu kwa elimu yake kugombea na kuwa mbunge!
WE JOSEPH KUSAGWA EBU TUACHE BANA
ushabiki mbaya sana. Mr 2 sugu anaelimu ya darasani form 6 na chuo kikuu cha mtaa.
Michango ya sugu bungeni ni makini sana zaidi ya madokta na maprofesa kama Maghembe au Mulugo na migao ya umeme kwenye ujenzi wa taifa
Mf. SWALA LA HATI MILIKI NA WIZI WA KAZI ZA WASANII adi kufikia muhafaka na serikali wa tra kusimamia uuzwaji na usambazaji wa kazi hizo.
2. Alilalamika swala la wasanii wakubwa kama joe tomas bee man 50cent kufanya shoo bongo na kulipwa ma bilioni bila serikali kuwakata kodi huku walalahoi tunakatwa kodi kwenye mishahara ya lakimbili
3. Amelalama uovu wa polisi
sugu kaanza kutetea wanyonge toka kwenye mziki tafuta vibao vyake kabla ajaanza siasa kama
1. HAKI aliifanya na jastini kalikawe
2. KURA YANGU alifanya na Juma nature na Dr levy
3. MIKONONI MWA POLISI aliifanya mwaka 2000 na 2012 mwangosi akafa mikononi mwa polisi
Ha ha ha ha, no wonder