CV ya Dr. Francis

CV ya Dr. Francis

Ikiwa ni kweli ana jina la Kasabubu ni dhahiri hawezi kuwa mtanzania wa asili! Atakuwa na asiri ya Rwanda au Burundi

- Sasa wewe kweli unaweza kusimama na kusema Dr. Slaa ni Mtanzania? sio Mwarabu? Karatu kumejaa waarabu kibao mbona hilo husemi?

Le Mutuz System
 
Acha masihara chifu! Unataka kusema PhD ya UDSM na UCLA utazilinganisha kwa vigezo ulivyovisema?!?

Sasa vigezo hivyo unaona vipo sawa kaka kwa vyuo ulivyotaja kama daktari huyo mtoa mada akiwa sampo!!!!!!

Ndo maana nikasema ni kazi binafsi ikichagizwa na msimamizi na rasilimali!!!!!!

Kilaza hata umpeleke YALE ataishia kutoa macho tu!!!!!!!
 
It is pity kama Francis Michael Kasabuvu ninaemfahamu mimi (alikuwa undergraduate UDSM 1996-1999) kuwa nae ni DR.

- Sasa utamlinganisha Dr. FRansic na Lipumba au Dr. Slaa? Eti Dr. Slaa huwa ni Doctor wa nini hasa maana talking about unafiki kiongozi mkuu wa upinzani kuwa na kadi mbili za Chadema na CCM inasema mengi sana khusu unafiki au?

Le Mutuz System
 
haha..niliishiwa nguvu....alichoandika...ukitaka jua watanzania ni wajinga..sikiliza midahalo yao inavyobadilika kila mara definition fulani inapopata umaarufu..pale mpuuzi mmoja asiyejua ila mwenye ushawishi au aliyewahiskia wapuuzi akilazimisha na kuwatisha wengine kunyamaza..Siku inayofuata ndio inakuwa definition yao ktk kujidai wanajua mambo.PHP ni kazi binafsi ..ndio ila inapimwaje kuwa kufikia viwango....?

Sasa kama sio kazi binafsi viva anafanya ya nini candidate? ???!!!
Na aspect zinazoangaliwa kwa umakini kwa viva ni zipi???!!


Hebu fafanua hapa ingawa unajiona sio mjinga!!!!
 
Hawa academician wa vyuo vya bongo hawafai popote..wakienda mahakamani wanachemsha sheria, wakienda viwandani hawawezi buni kitu km wahandisi, wakienda kufanya auditing ni bure kabisa..wenzao wa MIT ,Havard ktk bishara ni mabilionea, ktk tehcnologia ni wagunduzi, ktk uchumi ndio wanaodefeine uchumi wa dunia..hawa wapuuzi wanuanga unga notice ..za kiuchumi za kijamaa,kibepari etc mradi tuu wameandika paper general yenye harufu nzuri ila haitekelezeki.....ktk mdini si umemsikia mwingine..sasa wanaface reality..si walikuwa waki dic watu..sasa nao ktk maisha watu halisi watu wana wakamata.....kima hawa

Wana kazi kubwa tatu tu!!!!
Unazijua????!!!
 
watanzania tunapenda kujadili mtu pasipo matatizo yanayowahusu watanzania. .Dr.Francis ni mtu makin sana
 
- Sasa wewe kweli unaweza kusimama na kusema Dr. Slaa ni Mtanzania? sio Mwarabu? Karatu kumejaa waarabu kibao mbona hilo husemi?

Le Mutuz System

we mtoto wa malecela mbona una mwaibisha mzee wako? Una akili mbovu sana kijana, jaribu kuu act like mtu mzima haswa.
 
jibu hoja kwa hoja na si kebehi na matusi William J.Malecela ametoa ufafanuzi mzuri wa kina tu nawe jibu kwa hoja
 
we mtoto wa malecela mbona una mwaibisha mzee wako? Una akili mbovu sana kijana, jaribu kuu act like mtu mzima haswa.

- ha! ha! ha! ha! ha! ina maana ujumbe umefika that is all I could ask kutoka kwa Great Thinker!! like yah!! ha! ha!

Le Big Show
 
Ungejua kuwa kutofautiana mawazo hakulindi "irresponsibility"..mawazo yasiyo na kuwajibika ni destructive na si huru ....Uhuru na wajibu ni kitu kimoja kisichotenganishwa....bila wajibu haupo huru...uispowajibika uhuru unakuwa na mipaka.This fool is neither responsible nor free.....hayupo responsible ndio maana hana uhuru..anatumika...kwa vile hajui wajibu wala kuwajibika.
hastahili hata kuwa udasa
 
dip (ed) marangu
ba (ed) udsm
pgd (law) udsm
mba (umea-sweden)
phd (udsm)

- marekebisho ya cv ya dr. Fransic ni-
1. Ba political science & public administartion
2. Licentiate of management umea sweden
3. Mba - udsm

- hayo ya juu ni nonsense!! Uzushi wa ajabu sana ukawa wanajua kuzusha zusha uongo tu!!

Le mutuz system
 
- kWANI dR. sLAA NI WA NINI HASA YAANI UDOCTOR WAKE NI WA NINI HASA MKUU?

lE mUTUZ sYSTEM

Brother clever mind discuss issues not personalities,that's why even who attacks you personally!always hate them let's tackle issues not personality...
 
Brother clever mind discuss issues not personalities,that's why even who attacks you personally!always hate them let's tackle issues not personality...

- Maaan this is JF we don't care what comes in our face we just deal with it as it is, so it up to yah kusuka au kunyoa we can play both U know hoja and nonsense too, so enjoy it, now tell me what kind of PhD does Dr Slaa holds?

Le Mutuz System
 
- ha! ha! ha! ha! ha! ina maana ujumbe umefika that is all I could ask kutoka kwa Great Thinker!! like yah!! ha! ha!

Le Big Show
Ni kweli Ujumbe umefika Natumaini wewe na Boss wako Davis mmeshalala kwenye room yenu hapo Mount Meru. KISS HIM 4 ME
 
Back
Top Bottom