CV ya Dr. Francis

CV ya Dr. Francis

Kwani hujui ubovu wa hii nchi unahusiana sana na uislam..historia ya uongo imeandikwa kwa influence za uislam under cover la ujamaa na ukomunist...?N ahata UDSM upuuzi umejengwa juu ya uislam, na hata leo udini na ukabila na uharamu wa dini fulani kuwa na uwakilishi ktk vyama ni dhana ya kiislam?Kuwa chama cha kikristu, chama kisicho cha pwani kisahau nchi..pwani na uislam....ni kitu kimoja.Ucomunist na uislama unatumi aterm ukoloni kwa kuchanganya Ukristu na Ubepari......sasa zako zikutoshe wapi..Kwani Mkwawa na Kinjekitile majina yao ya kiislam yamefichwa ila waislam wapo nyuma yao kuwapraise....?

we jambazi la kichaga ni kenge sana
 
Haha..hukubahatika mjua huyu jamaa vyema ukiwa na akili ya uchambuzi.....nilimfuatilia siku nyingi sana enzi na enzi.......na miaka km 15 baadae nikapata muda wa kuongea naye mara nyingi bila yeye kujua kuwa nahakikisha tafsiri yangu kwakwe..na hata mwaka aliofariki nilikuwa nimeongea naye...alikuwa mbabaishaji km wengine tuu..na mshabiki mkubwa wa conspiracy theories.Kila kitu kwakwe ni conspiracy theorem...Political Science ni fani rahisi na iliyokuwa genralized sana ,na biased ktk conclusions

we chaga jinga unawaaibisha wachaga wenzio
 
Huyu jina lake ni KASAVUBU kabila lake ni M-bembe. Ni maji ya kuvuka. Anatokea Kitongoji cha BUZEBAZEBA Kigoma. Aliwahi kuwa Kiongozi mkubwa DARUSO UDSM miaka ya 99 chini ya MKUMBO KITILA. Amepata kashfa nyingi sana akiwa kiongozi moja wapo ni umalaya wa kurubuni first year ili wapate favour na kusaliti wanafunzi wakati wa migomo. Alikuwa cheap na easy to compromise. Alitaka kugombea ubunge Kigoma 2005 but historia ya uraia wake unamkosesha amani. Wale wanaojua radicalism ya watu wa Kigoma watamshangaa sana ndugu huyu. Ni mpenzi wa basketball na jogging. Ana watoto kila pahala alipoishina kusoma . Wachaga ni shemeji yeni...warangi shemeji ueni...wazaramo....wasafwa....wahaya.... you mention....
 
worse PHD ni ya UDSM....matakataka yaleyale ya akina haroub othman.

Kaka Marehemu Prof Haroub Othman kanifundisha Development Studies au DS. Alikuwa ni mtu wa msimamo wa alichokiamini, had I anafariki
 
Dip (Ed) Marangu
BA (Ed) udsm
PGD (Law) udsm
MBA (Umea-sweden)
Phd (udsm)

Jamani tumusamehe bure! kumbe elimu yake yenyewe ni ya kuunga unga? Wenye elimu zenye mshaka huwa kimbilio lao ni CCM. (Ref Mafisadi wa Elimu Tanzania by Msemakweli). Mafisadi wote wa Elimu ni viongozi wa CCM. Ninalaumu sana UDSM kubadilisha utaratibu wa zamani wa kuwapata ma-TA. Zamani ma-TA walikuwa vipanga, kijana anaangaliwa tangu anapoingia first year uwezo wake academically
 
duh..dr.fransis atajuta kuwa mwenyekiti wa kamati. watu watamchunguza mpaka na mahawara zake wote..hahaha hii ndio siasa za tanzania

Hupenda kutembea na wanachuo wanaenda kigoma kufanya TP kigoma. Kuna mwaka nilienda na demu wangu A.K akawa anamtolea macho. Huyu Dr ni majanga na ni muhuni asiyejiheshimu
 
NIkusamehe wewe unayepea CV za hao jamaa miskitini wakiwadanganya dhulma ya nchi....huko ndio kuwajibika na kujenga nchi, n auzalendo wa hao wehu..haroub othman angekuwepo leo angeropoka kuliko Lipumba,Shivji etc....HUjamuona kinaja wake wa kihaya waliofikia mapenzi ktk siasa za misikitini hasi ubara wake ukaondoka....leo kajamaa kanastruggle..eti nako kanaamini mnaweza fnaya mchakato wa kuungana ili mvunje nchi..si ingekuwa bora kutoaungana tuu na si kuungana?Sijui hajui kua anajiabisha kuonyesha kuwa hajui tofauti ya kuimarisha muungano na kulinda serikali mbili.....

Una matatizo ya akili wewe aliyekwambia mimi muislam nani? Mimi ni Mkristo Mkatoliki sasa naanza kupata picha kwanini ndugu zetu waislam humu wanakulalamikia kuwa wewe ni Mdini na inawezekana ni kweli kabisa unamsema Pro Horoub Othman kwasababu ya dini yake hujatoa fact hata moja ya kumdis zaidi ya porojo tu
 
-------- tu,hana issue Jana alishushuliwa na msigwa watu walimuona maviiiiiiiiiiii
 
hivi kweli watanzania wa sasa wanadanganyika kama zamani kweli!
 
duh..dr.fransis atajuta kuwa mwenyekiti wa kamati. watu watamchunguza mpaka na mahawara zake wote..hahaha hii ndio siasa za tanzania

Siyo siasa za Tanzania tu, siasa ndivyo zilivyo.ukitaka kuwa salama basi usijiingize kwenye siasa kama hujakamilika.
 
Dip (Ed) Marangu
BA (Ed) udsm
PGD (Law) udsm
MBA (Umea-sweden)
Phd (udsm)
Kusoma sana kwa kukariri saana kuna kufanya kuwa 'kasuku' tuu, sio mwenye akili sana, na huyu bwana ni mfano hai. Hajui hata kusoma kwa ufasaha!:A S 13:
 
Back
Top Bottom