Customer support ya Azam TV ni ovyo sana

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
628
1,648
Aisee nimepata changamoto kisimbuzi changu hakioneshi licha ya kuwa katika same settinf kwa zaidi ya mwaka ghafla tu kikaanza kukata ikifika usiku na kurudi hewani pakikucha. Ikaenda zaidi ikasema invalid cam module detected.

Nikasema niwasiliane na Azam TV customer care. Zile simu zao nimepiga wamenizungusha na kubonyeza minamba tu wala hamna option ya kuongea na mtu moja kwa moja, yaani wame automate whole thing.

Inasikitisha sana kwa sababu nimejaribu hiyo WhatsApp yao wamenitumia general fault tena za Dish na mie natumia antenna, hata aina ya kisimbuzi changu hakipo kwenye list yao wakati ndio latest kabisa. Kwanini Azam hawataki kuwasiliana na mteja moja kwa moja maana sio kila tatizo utapata msaada kwenye menu ya huduma.

Pia anaejua ku solve hii error 69 anielekeze natumia antenna.
 
Sio Azam tuu! Kwa Tanzania swala la customer Care ni kama vile kusomewa hukumu ya Kifo!
 
Wabongo wengi akili hatuna.

We unanunua kisimbuzi ambacho katkat ya Tangazo lao wanakwambia "MAFUNDI WA KING'AMUZI WATAKUA MKOA WA MTWARAAAA LETA KING'AMUZI CHAKO KITENGENEZWE BUUUUUREEE"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hayo mambo Dstv hauji kuyasikia kabisaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee nimepata changamoto kisimbuzi changu hakioneshi licha ya kuwa katika same settinf kwa zaidi ya mwaka ghafla tu kikaanza kukata ikifika usiku na kurudi hewani pakikucha. Ikaenda zaidi ikasema invalid cam module detected.

Nikasema niwasiliane na Azam TV customer care. ZILE SIMU ZAO NIMEPIGA WAMENIZUNGUSHA NA KUBONYEZA MINAMBA TU WALA HAMNA OPTION YA KUONGEA NA MTU MOJA KWA MOJA, YAANI WAME AUTOMATE WHOLE THING. Inasikitisha sana kwa sababu nimejaribu hiyo WhatsApp yao wamenitumia general fault tena za Dish na mie natumia antenna, hata aina ya kisimbuzi changu hakipo kwenye list yao wakati ndio latest kabisa. Kwa ninu Azam hawataki kuwasiliana na mteja moja kwa moja maana sio kila tatizo utapata msaada kwenye menu ya huduma.

Pia anaejua ku solve hii error 69 anielekeze natumia antenna.
Kama upo dar kibebe hicho kisimbuzi na uwende nacho moja kwa moja pale buguruni watakurekebishia mkuu other wise fata ushauri wa mjumbe pale juu nunua dish la DSTV kama bajeti ipo vizuri.
 
Zingatia mada, issue ni customer care ya azam, hiyo dstv wenzio tunayo tangu enzi inajulikana ni ya serikali na maofisi makubwa. Acha ushamba na dstv yako yenye kifurushi cha maisha magic bongo hata epl huoni.
Wabongo wengi akili hatuna.

We unanunua kisimbuzi ambacho katkat ya Tangazo lao wanakwambia "MAFUNDI WA KING'AMUZI WATAKUA MKOA WA MTWARAAAA LETA KING'AMUZI CHAKO KITENGENEZWE BUUUUUREEE"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hayo mambo Dstv hauji kuyasikia kabisaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama upo dar kibebe hicho kisimbuzi na uwende nacho moja kwa moja pale buguruni watakurekebishia mkuu other wise fata ushauri wa mjumbe pale juu nunua dish la DSTV kama bajeti ipo vizuri.
DSTV ninayo boss sema wife na sinema zetu yake ndio pasua kichwa, mbaya zaidi kuna school mate zake kawaona wanaigiza basi anataka kila akiangalia awapigie wasogoe.
 
Zingatia mada, issue ni customer care ya azam, hiyo dstv wenzio tunayo tangu enzi inajulikana ni ya serikali na maofisi makubwa. Acha ushamba na dstv yako yenye kifurushi cha maisha magic bongo hata epl huoni.
Sasa kumbe wewe ndo localy, boya fulan hvi usiye jielewa. Yaani ni miongoni mwa wale mapunga wanaojiona wao ni wajanja kumbe hamna kitu.

Ukijisoma vizuri utanielewa kuwa we ni bwegeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Ungekua na akili ungefuata mafundi waliko usingekuja kutujazia server huku na kutupangia cha kuandikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa kumbe wewe ndo localy, boya fulan hvi usiye jielewa. Yaani ni miongoni mwa wale mapunga wanaojiona wao ni wajanja kumbe hamna kitu.

Ukijisoma vizuri utanielewa kuwa we ni bwegeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Ungekua na akili ungefuata mafundi waliko usingekuja kutujazia server huku na kutupangia cha kuandikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unajichekesha uonekane uko normal, nyie ndio wale unatambia TV ya jirani. Utasikia ebana kama unataka TV nunua OLED picha yake balaa yaan full ku injoi kumbe unaongelea TV ya jirani, ukute hata hiyo TV ya laki na nusu huna unatamba na DSTV.
Tamaduni za kupeleka vitu kwa fundi umasikini huo kijana ingekuwa hivyo viwanda vingeunda bidhaa kwa kuangalia idadi ya watu, ikifa imekufa nunua nyingine.
 
Mbona cable tv ni nying sana punguza malalamiko pesa yako na bado inakutesa huu ujinga utaisha lini lazma ujue thamani ya pesa yako tafte pale ambapo wanaeshimu pesa yako

Ttzo mnamfanya campuni inakua monopoly afu mnakuja kulalamika badae Azam mliwafanya wakubwa sasa wanawatesa

Mi sio mpenzi wa mpira so situmii wala sjawai kutumia Azam tv/cable weng mnateseka sabu ni wapenzi wa mpira na azam ndo option iliyopo
 
Back
Top Bottom