vp jaman hivi ajira za customer cares kwenye mitandao yetu ya cm zinakwendaje? Airtel wapo na spanco, ila kupata balaa, cjui tigo voda na zantel hali ikoje. Wana jamvi tujuzane kuhusu hz position.
vp jaman hivi ajira za customer cares kwenye mitandao yetu ya cm zinakwendaje? Airtel wapo na spanco, ila kupata balaa, cjui tigo voda na zantel hali ikoje. Wana jamvi tujuzane kuhusu hz position.
Erolink wanatoa kazi hizo kwa mitandao yote mikubwa Tigo,Voda,Airtel...peleka CV yako kwa hao jamaa watakusaidia!! Usisahau nasikia wananyanyasa kiasi chake maana hawana mshindani kwenye hayo makampuni,si wajua tena wa tanzania kama huna mshindani?
mimi ni mmoja wapo nilipiga AIRTEL CUSTOMER CARE, kazi yake si ya kitoto hasa shift za usiku. wananyanyasa
Lakini, .....mtumikie kafiri upate ujira wako.
mimi ni mmoja wapo nilipiga AIRTEL CUSTOMER CARE, kazi yake si ya kitoto hasa shift za usiku. wananyanyasa
Lakini, .....mtumikie kafiri upate ujira wako.
obama mi mgeni hapa siwezi kukupm bt nitafurahi kama nitapata customer care bt ni voda au zantel not airtel au tigo sababu spanco nawajua men
thanks if you can assist me i will be happy