Nimeyafanya haya kwa kuwa niwajibu wangu kuyafanya hayo.Nimelelewa katika kutimiza Wajibu wangu - Rejia E. Mtema
Souce: LINK
Ni ajabu saana jinsi ambavo kila siku twalaumu viongozi kwa kazi ambazo wategea na kuto toka katika wizara zao... Mimi ni member wa JF I have a rite na obligation ya kufanya hivo (Mradi iwe ndani ya uwezo wangu); Vivo hivo hata wewe. Kuipenda kwangu JF na kumpenda na kumkubali kwangu Marehemu Regia ndio imenisukuma hilo... Pia ile kitendoa cha kusema I am certain kuna members wanataka hizi Links and feel lost not knowing where to start pia nayo imenisukuma. I am passionate in all my doings. Hivo kama unaona my passion has exceeded the required amount thus ukaamua kuni name/nishutumu nataka U-moderator.... I am humbled kwa kunipaisha.
Pamoja Saana.
AshaDii.