Tunwa Ramadhani
New Member
- Mar 12, 2015
- 3
- 0
Mzee piga kazi walaa usijali! Mtume hasifiwi nyumbani@Viva Pombe.Watakumiss mwishoni
Katika kusoma Kuna mambo mawili ya muhimuBado sijakuelewa vizuri unamaana gani. Embu dadavua vizuri bwana deeppond
😂😂😂😂😂Katika kusoma Kuna mambo mawili ya muhimu
1. Kuna kusoma ili Elimu IKUKOMBOE
2. Kuna kusoma ili UIKOMBOE Elimu.
Sasa uyu mzee wetu, Miaka yote kasota vyuoni kuihangaikia hoja namba 2 Apo juu.
Maneno ya Mhe.Rais ni kweli tupu, amesema hatoongeza hata siku moja madarakani.
Prof Lipumba wasiwasi wa nini?!
Hakuna aliyemzuia kupiga kazi! Kakumbushwa muda wake ukiisha asepe, asijeleta blaa blaa!Mzee piga kazi walaa usijali! Mtume hasifiwi nyumbani@Viva Pombe.Watakumiss mwishoni
Kama miradi haijakamilika jeManeno ya Mhe.Rais ni kweli tupu, amesema hatoongeza hata siku moja madarakani.
Wee andaa crane tu propesa!View attachment 1655214
"Tunakushauri Rais Magufuli kwamba mda wako wa kuongoza ukiisha wasije wakakudanganya ukaongeza mda wa kuwa madarakani wakati mda wako vipindi vyako vitakuwa vimekwisha".-Prof. Lipumba.
#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya
#OfisiKuuYaChamaBuguruni.
ukifika bei utaelewa tuView attachment 1655214
"Tunakushauri Rais Magufuli kwamba mda wako wa kuongoza ukiisha wasije wakakudanganya ukaongeza mda wa kuwa madarakani wakati mda wako vipindi vyako vitakuwa vimekwisha".-Prof. Lipumba.
#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya
#OfisiKuuYaChamaBuguruni.