CUF yazindua Kongamano la kudai Katiba mpya, yataka maoni ya wananchi kuheshimiwa

Wajumbe wa kongamano hilo ni akina nani?

isiwe ni wamachinga wa Buguruni na wachovu wa kariakoo na Manzese?

Ili kongamano liwe CREDIBLE wahudhurie angalau watu wasomi, wanasheria, viongiz wastaafu, vyama vya siasa makini na pengine baadhi ya mabalozia au wawakilishi wao
 
Hongera CUF, ni jukukumu letu sote kama Watanzania kupambania hili kwa umoja na ustawi wa taifa letu. Unafiki una mwisho mbaya.
 
Huyu Mzee kwanza anadaiwa ile hela ya RUZUKU, ile walikuwa wanagawania pale benki ya NMB magomeni wakishirikiana na Msajili wa vyama
 
Chama cha CUF jana kimezindua Kongamano la kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ikiwa ni siku 53 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kufanyika.

Akifungua Kongamano hilo, Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametoa rai kwa Rais John Magufuli kuheshimu maoni ya wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya na Tume Huru.

Vilevile, amesema Rais anatakiwa kuheshimu ukomo wa Uongozi uliopo kwa mujibu wa Katiba na kuepuka majaribio yoyote ya kumuwezesha kukaa madarakani kwa muda mrefu.

Amesema Rais anapaswa kufufua mchakato ya kuandika Katiba mpya kuwapatia Watanzania Tume huru ya Uchaguzi itakayoubganisha Taifa na kufuta machungu yaliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ameongezaa kuwa, rasimu ya Katiba mpya iliyo chini ya Jaji Mstaafu Joseph Warioba imekidhi matakwa ya wananchi walio wengi na jukumu alilobaki nalo Rais ni kuhitimisha mchakato huo.

======

The opposition Civic United Front (CUF) on Sunday, December 20, 2020 organized a congress gathering national leaders, members of the national congress and members to discuss on the demand for the new constitution and an independent electoral commission.

The conference was organized 53 days after the conclusion of this year’s General Election that saw President John Magufuli re-elected and the ruling CCM increasing domination in the Parliament and local councils.

Opening the conference, the party’s chairman Prof Ibrahim Lipumba asked Dr Magufuli to respect citizen’s opinion by providing them with the new constitution and the independent electoral commission.

“Dr Magufuli should revive the new Katiba writing process now in order to provide citizens with an independent electoral commission in order to unify the country and cure it from wounds resulting from the 2020 General Election,” he said.

The economics professor who turned politician said President Magufuli should also respect the leadership term limit provided by the constitution and ignore any attempts of making him a life president.

He said since the draft constitution from the defunct Constitution Review Commission (CRC) under Judge (rtd) Joseph Warioba has accommodated most citizens’ opinions; the president’s remained with the task to finalize the process.

Former Bukoba Urban MP Wilfred Lwakatare said the two demands should bring together all Tanzanians, political parties, academia, Civil Society Organizations (CSOs), clerics etc.

However, the new constitution is not in the ruling party’s manifesto.
Unafiki tuu.. Ccm B wanahangaika kuingiza wananchi chaka
 
Chama cha CUF jana kimezindua Kongamano la kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ikiwa ni siku 53 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kufanyika.

Akifungua Kongamano hilo, Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametoa rai kwa Rais John Magufuli kuheshimu maoni ya wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya na Tume Huru.

Vilevile, amesema Rais anatakiwa kuheshimu ukomo wa Uongozi uliopo kwa mujibu wa Katiba na kuepuka majaribio yoyote ya kumuwezesha kukaa madarakani kwa muda mrefu.

Amesema Rais anapaswa kufufua mchakato ya kuandika Katiba mpya kuwapatia Watanzania Tume huru ya Uchaguzi itakayoubganisha Taifa na kufuta machungu yaliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ameongezaa kuwa, rasimu ya Katiba mpya iliyo chini ya Jaji Mstaafu Joseph Warioba imekidhi matakwa ya wananchi walio wengi na jukumu alilobaki nalo Rais ni kuhitimisha mchakato huo.

======

The opposition Civic United Front (CUF) on Sunday, December 20, 2020 organized a congress gathering national leaders, members of the national congress and members to discuss on the demand for the new constitution and an independent electoral commission.

The conference was organized 53 days after the conclusion of this year’s General Election that saw President John Magufuli re-elected and the ruling CCM increasing domination in the Parliament and local councils.

Opening the conference, the party’s chairman Prof Ibrahim Lipumba asked Dr Magufuli to respect citizen’s opinion by providing them with the new constitution and the independent electoral commission.

“Dr Magufuli should revive the new Katiba writing process now in order to provide citizens with an independent electoral commission in order to unify the country and cure it from wounds resulting from the 2020 General Election,” he said.

The economics professor who turned politician said President Magufuli should also respect the leadership term limit provided by the constitution and ignore any attempts of making him a life president.

He said since the draft constitution from the defunct Constitution Review Commission (CRC) under Judge (rtd) Joseph Warioba has accommodated most citizens’ opinions; the president’s remained with the task to finalize the process.

Former Bukoba Urban MP Wilfred Lwakatare said the two demands should bring together all Tanzanians, political parties, academia, Civil Society Organizations (CSOs), clerics etc.

However, the new constitution is not in the ruling party’s manifesto.
Nina wasiwasi na hii kauli isijekuwa anatumika, katiba mpya ikija sasaivi ndio tunaenda kumalizwa kule bungeni wooote ni watu wa Ndioooo....,
 
View attachment 1655214

"Tunakushauri Rais Magufuli kwamba mda wako wa kuongoza ukiisha wasije wakakudanganya ukaongeza mda wa kuwa madarakani wakati mda wako vipindi vyako vitakuwa vimekwisha".-Prof. Lipumba.

#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya

#OfisiKuuYaChamaBuguruni.

------

Chama cha CUF jana kimezindua Kongamano la kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ikiwa ni siku 53 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kufanyika.

Akifungua Kongamano hilo, Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametoa rai kwa Rais John Magufuli kuheshimu maoni ya wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya na Tume Huru.

Vilevile, amesema Rais anatakiwa kuheshimu ukomo wa Uongozi uliopo kwa mujibu wa Katiba na kuepuka majaribio yoyote ya kumuwezesha kukaa madarakani kwa muda mrefu.

Amesema Rais anapaswa kufufua mchakato ya kuandika Katiba mpya kuwapatia Watanzania Tume huru ya Uchaguzi itakayoubganisha Taifa na kufuta machungu yaliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ameongezaa kuwa, rasimu ya Katiba mpya iliyo chini ya Jaji Mstaafu Joseph Warioba imekidhi matakwa ya wananchi walio wengi na jukumu alilobaki nalo Rais ni kuhitimisha mchakato huo.

======

The opposition Civic United Front (CUF) on Sunday, December 20, 2020 organized a congress gathering national leaders, members of the national congress and members to discuss on the demand for the new constitution and an independent electoral commission.

The conference was organized 53 days after the conclusion of this year’s General Election that saw President John Magufuli re-elected and the ruling CCM increasing domination in the Parliament and local councils.

Opening the conference, the party’s chairman Prof Ibrahim Lipumba asked Dr Magufuli to respect citizen’s opinion by providing them with the new constitution and the independent electoral commission.

“Dr Magufuli should revive the new Katiba writing process now in order to provide citizens with an independent electoral commission in order to unify the country and cure it from wounds resulting from the 2020 General Election,” he said.

The economics professor who turned politician said President Magufuli should also respect the leadership term limit provided by the constitution and ignore any attempts of making him a life president.

He said since the draft constitution from the defunct Constitution Review Commission (CRC) under Judge (rtd) Joseph Warioba has accommodated most citizens’ opinions; the president’s remained with the task to finalize the process.

Former Bukoba Urban MP Wilfred Lwakatare said the two demands should bring together all Tanzanians, political parties, academia, Civil Society Organizations (CSOs), clerics etc.

However, the new constitution is not in the ruling party’s manifesto.
CUF ina wabunge wangapi kwa sasa? Je na wao wak katika SUK?
 
Mbona yeye hataki kutoka cuf?
Siyo hataki kutoka ila hatoki kwa sababu Katiba ya Chama chake inaruhusu na wanachama wanamtaka aendelee lakini Katiba ya Tanzania, pamoja na ubovu wake, inaruhusu Vipindi viwili tu ikiwa na maana Rais wetu mpendwa ambaye sasa hapendeki kama mwanzo, tayari amefika kipindi cha mwisho. Wasiwasi wa wengi anaweza akabadili Katiba kwa msaada wa Bunge dhaifu linaloongozwa na Spika dhaifu na Wabunge dhaifu wa CCM walioingia kwa Uchafuzi wa mwaka huu.
 
CUF ndo chama chenye roho ya paka na kamwe hakiwezi kufa hivyo wasijidanganye Kama wanaweza kukiua chama Cha CUF.

Nawaambia watanzania Prof. Lipumba ni rafiki wa kweli na ni kiongozi jasiri na mtetea haki za wanyonge.

#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya

#OfisiKuuYaChamaBuguruni.
😂😂😂😂kupata vichekesho kama hivi napiga namba gani?
 
View attachment 1655214

"Tunakushauri Rais Magufuli kwamba mda wako wa kuongoza ukiisha wasije wakakudanganya ukaongeza mda wa kuwa madarakani wakati mda wako vipindi vyako vitakuwa vimekwisha".-Prof. Lipumba.

#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya

#OfisiKuuYaChamaBuguruni.

------

Chama cha CUF jana kimezindua Kongamano la kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ikiwa ni siku 53 baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kufanyika.

Akifungua Kongamano hilo, Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametoa rai kwa Rais John Magufuli kuheshimu maoni ya wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya na Tume Huru.

Vilevile, amesema Rais anatakiwa kuheshimu ukomo wa Uongozi uliopo kwa mujibu wa Katiba na kuepuka majaribio yoyote ya kumuwezesha kukaa madarakani kwa muda mrefu.

Amesema Rais anapaswa kufufua mchakato ya kuandika Katiba mpya kuwapatia Watanzania Tume huru ya Uchaguzi itakayoubganisha Taifa na kufuta machungu yaliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Ameongezaa kuwa, rasimu ya Katiba mpya iliyo chini ya Jaji Mstaafu Joseph Warioba imekidhi matakwa ya wananchi walio wengi na jukumu alilobaki nalo Rais ni kuhitimisha mchakato huo.

======

The opposition Civic United Front (CUF) on Sunday, December 20, 2020 organized a congress gathering national leaders, members of the national congress and members to discuss on the demand for the new constitution and an independent electoral commission.

The conference was organized 53 days after the conclusion of this year’s General Election that saw President John Magufuli re-elected and the ruling CCM increasing domination in the Parliament and local councils.

Opening the conference, the party’s chairman Prof Ibrahim Lipumba asked Dr Magufuli to respect citizen’s opinion by providing them with the new constitution and the independent electoral commission.

“Dr Magufuli should revive the new Katiba writing process now in order to provide citizens with an independent electoral commission in order to unify the country and cure it from wounds resulting from the 2020 General Election,” he said.

The economics professor who turned politician said President Magufuli should also respect the leadership term limit provided by the constitution and ignore any attempts of making him a life president.

He said since the draft constitution from the defunct Constitution Review Commission (CRC) under Judge (rtd) Joseph Warioba has accommodated most citizens’ opinions; the president’s remained with the task to finalize the process.

Former Bukoba Urban MP Wilfred Lwakatare said the two demands should bring together all Tanzanians, political parties, academia, Civil Society Organizations (CSOs), clerics etc.

However, the new constitution is not in the ruling party’s manifesto.
This is madness. You request and beg the president to initiate the process to a new constitution? We have to demand it radically. We need a serious new front; a front not under the leadership of coward and controversial individuals who have once betrayed "UKAWA". You very well know the president's stand and particularly the CCM election manifesto that the new constitution is not a priority and not even mentioned.
 
Binafsi sioni umuhimu wa kudai katiba mpya wakati hata hii iliyopo tumeshindwa kuisimamia ,mfn hii katiba iliyopo inasema mbunge akifukuzwa uwanachama ubunge wake utakoma muda huo huo ,sasa juzi kuna wabunge wamefukuzwa uanachama lakini sipika anasema bado ni wabunge ina maana ameikanyaga katiba wazi wazi.

Katiba inasema mikutano ya vyama vya siasa ni haki ya kila chama na maandamano ya amani ruksa lakini bado kuna mbabe mmoja amesema mikutano na maandamano ni jinai 🤔 ,wazo lao ni zuri lakini wangepambana kwanza kukemea ukiukwaji wa katiba maana hata ikiletwa mpya kama hatujajenga misingi ya kuheshimu katiba tutakwama.
Fahamu kuwa vitendo vya uvunjaji wa katiba ya sasa vinafanywa na wateule wa rais au rais mwenyewe. Hii ni kwasababu katiba ya sasa inamlinda na inampa rais mamlaka yaliyopitiliza kiasi cha kuingilia utendaji wa mihimili mingine ya serikali. Kudai katiba mpya ndo njia pekee ya kukomesha hayo yote.
 
This is madness. You request and beg the president to initiate the process to a new constitution? We have to demand it radically. We need a serious new front; a front not under the leadership of coward and controversial individuals who have once betrayed "UKAWA". You very well know the president's stand and particularly the CCM election manifesto that the new constitution is not a priority and not even mentioned.


I smell a dead rat in this campaign!

It sounds like a front for something.....

let’s say they complete their campaigns and collect the so called “maoni ya wananchi” only to come back and say “wananchi asilimia 80 wamesema hakuna umuhimu wa katiba mpya na wamemuomba aendelee kuwepo ili akamilishe aliyoyaanzisha”........chapter closed and the real ride starts!
 
This is madness. You request and beg the president to initiate the process to a new constitution? We have to demand it radically. We need a serious new front; a front not under the leadership of coward and controversial individuals who have once betrayed "UKAWA". You very well know the president's stand and particularly the CCM election manifesto that the new constitution is not a priority and not even mentioned.
Ndiyo maandalizi yako ya kutoa stress zenu.Katiba mpya na kuukuu unamwachia nani.Maoni utayapata wapi!!!!!! Hujui kama ccm ni majority na wanahaki ya kuwasikilizA minority, lakini pia wana nafasi ya kuamua kile chenye maslahi kwa taifa.Wewe unamsikiliza le professeee aliyeibuka na hoja ati namba yake ya karatasi za kupigia kura zilinakiriwa na wasimamizi.Wakati utaratibu huo upo tangu 1995 na yeye kaja kugundua 2020 na kudai ni kinyume.Loooooooo le profeseee majanga makubwa, ati anaongoza harakati za kudai katiba mpya.Mmeliwa tigo wakubwa
 
Ingekuwa inakubalika na wananchi ni kweli haiwezi kufa, hata ikifanyiwa hujuma na dola. Kuna uwezekano isife, lakini isiwe na support na wananchi wengi kama ilivyokuwa awali.
Chadema inakubalika kama awali? Ina tofauti na CUF? Ahahahahah!!
 
Chadema inakubalika kama awali? Ina tofauti na CUF? Ahahahahah!!

Magufuli ndio hataki kuona watu wanaikubali cdm. Bila matumizi mabaya ya madaraka hakuna uwezekano wa kuifanya cdm isiwafikie watu wengi sana. Ndio maana Magufuli yuko radhi hata wananchi wote wafe, kuliko kuona wananchi wanaonyesha hisia zao za kuikubali cdm hadharani. Na atatoka madarakani bila kufanikiwa kuua mapenzi ya wananchi kwa cdm.
 
CUF imefufuka lini tena?
CUF ndo chama chenye roho ya paka na kamwe hakiwezi kufa hivyo wasijidanganye Kama wanaweza kukiua chama Cha CUF.

Nawaambia watanzania Prof. Lipumba ni rafiki wa kweli na ni kiongozi jasiri na mtetea haki za wanyonge.

#UzinduziWaKongamanoLaKudaiTumeHuruNaKatibaMpya

#OfisiKuuYaChamaBuguruni.
 
Back
Top Bottom