battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,539
Wajumbe wa kongamano hilo ni akina nani?
isiwe ni wamachinga wa Buguruni na wachovu wa kariakoo na Manzese?
Ili kongamano liwe CREDIBLE wahudhurie angalau watu wasomi, wanasheria, viongiz wastaafu, vyama vya siasa makini na pengine baadhi ya mabalozia au wawakilishi wao
isiwe ni wamachinga wa Buguruni na wachovu wa kariakoo na Manzese?
Ili kongamano liwe CREDIBLE wahudhurie angalau watu wasomi, wanasheria, viongiz wastaafu, vyama vya siasa makini na pengine baadhi ya mabalozia au wawakilishi wao