Waingereza wanaita "double standards"Ikija kwenye masuala ya kibaguzi kama haya wanasema "waasisi wa muungano" na yakija mambo serious "wanasema ulikuwa muungano wa Karume na Nyerere"
Waingereza wanaita "double standards"Ikija kwenye masuala ya kibaguzi kama haya wanasema "waasisi wa muungano" na yakija mambo serious "wanasema ulikuwa muungano wa Karume na Nyerere"
Kweli hii imesema mengi. Bila shaka ni mmoja wa wanaotaka Sultani arudi Zanzibar. Hajali maslahi ta wapemba wenye ardhi na vitega uchumi/biashara Tanganyika
Wachaga vs Wamasai -Umesahau kina lowasa.Ni vizuri wanasiasa na Wazanzibari wote wakaelewa na kujipanga, kuwaandalia Mazingira au maeneo ya kuhamia Wazanzibar kwa walioko huku Bara kwa sasa.
Maana kama hawatakuwa tayari kufungua milango kwenye zoezi la Uhuru wa kumiliki ardhi kwa pande zote za Muungano. Uwepeo wa Tanganyika baada ya Katiba hii hautawacha salama Wazanzibar wote walioko Tanganyika na hii haitaishia hapo itakwenda mbali (Unguja VS Pemba).
Wengine mtakumbuka Maneno ya Hayati JK-Nyerere.
NB.Ni vigumu Wazanzibar wakafurahia Ardhi Bara na wabara wawe wakuja wakiwa Kule zanzibar wacha tu subiri!
Tanaganyika ina makablila zaidi ya 120. Unapotaka kuandika jambo jiridhishe kwanza kwamba unalifahamu vinginevyo unatueleza habari kuhusu wewe na uwezo wako bila sisi kuombaUkimbukwe kuwa Tanganyika kuna mababila zaidi ya 20 sijui nanyi mutaishi vipi, kutagawana mikoa,
kwa ubaguzi huu zanzibar iachwe iende salama! Umejaa ubaguzi mpaka kwenye kope.!
undugu wetu "wewe
ukiishiwa chumvi rukra kuja kuniomba ila mi nikiishiwa siruhusiwi kabisa
kuja kuomba chumvi kwako"
hapa lazima kuna ulakini ktk undugu wetu
Huyu je! wawapi huyu yakhe!!?Bimani mwenyewe aliyetoa
press conference huyo hapo kwenye picha. Mwangalie kwa makini halafu
tuambie umegundua nini. Kazi kwako.
View attachment 143741
Hapa nilipo kuna jirani yangu ambaye ni mzanzibar pure na anamiliki ardhi ya kutosha. Sasa huu uzi umenifungua macho kuwa kumbe ile ardhi inaweza kuwa yangu muda wowote,ni suala la muda tuuuu. Huyu jirani yangu alishawahi kumkatalia mtoto wangu wa mwanaume alipoenda kuchumbia kwake kwa kigezo cha kwamba suala la kuoleana si la muungano!!!!, kumbe hata ardhi nayo cyo suala la muungano!! Huyu jamaa atanikoma kwenye hili suala la ardhi lazima alikimbie jiji la sivyo akubali kijana wangu amuoe binti yake.
Lazima Tuwe wakweli. Hivi wakija Watu millioni 2 tu kutoka Bara wakataka ardhi kweli tunayo ardhi hiyo. WaZanzibari wapo 1.2 million kuna matatizo ya kugombea ardhi
pole sana mkuu, naomba uhangaike na uitafute katiba ya zanzibar utaiona inasemaje kuhusu haki ya kumiliki ardhi ipo kwa nani! Huu ubaguzi hauvumiliki hata kidogo mkuu!
huo uzushi usiulete hapa mkuu!
Mkuu hilo ni jema sana na ndivyo inavyotakiwa kuwa.kuna aliyeandika kwamba wabara milioni 2 wakija huko watapata wapi ardhi nilikuwa napingana na hilo,kama inaruhusiwa kumiliki ardhi ni vyema.
Kama Wanzibar ruksa kupewa ardhi bara, Zanzibar ikijaa si watakuja bara na kuishi mahali popote wanapopataka? Hata hivyo ni uchoyo unaowasumbua nani aliwaambia wabara wanahitaji sana kuishi Zanzibar. Kuruhusu haina maana wabara wote watataka kwenda Pemba.Unaweza ukaruhusu wanafunzi wote kwenda kuangalia Disco lakini sio wote wataenda wengine ni wakristo au waislamu safi. Kuna watu hawataki kuhama kwao hata ungewajengea nyumba bure Pemba
duh...mkuu hesabu na reaction zako zinatisha...hiyo decimation unayomfanyia uyo mzenji ingekuwa kwenye battle field ange surrended within few minutes
Lazima Tuwe wakweli. Hivi wakija Watu millioni 2 tu kutoka Bara wakataka ardhi kweli tunayo ardhi hiyo. WaZanzibari wapo 1.2 million kuna matatizo ya kugombea ardhi