CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

CUF yapinga bara kupewa ardhi Z’bar

Nadhani nilishakuonya muda mrefu huko nyuma kuwa.l, ninapo jadili na wewe SIPENDELEI uingize watu wengine ktk mjadala! Lkn kutokusikia kwako ni dalili tosha ya hizo busara zako zilivyo nyingi!
Suala la wazanzibari Kwenda huko kwa wagogo Dodoma limekuwa HALINA BUDI! Na cha kushangaza ni kuwa nyie mjifanyao na busara za kuwapangia wazanzibari mambo yao mnashindwa kutambua kuwa Systems zilizowekwa na wagalatia ni kuwa HUWEZI KUFIKISHA UJUMBE WAKO NA MAHITAJI YAKO mpaka uwe nao huko dodoma!
Ya laiti kama hilo baraza la wawakilishi lingekuwa na nguvu km hilo la Dodoma SIDHANI KAMA UNGEKUTA MZANZIBARI MMOJA HUKO Ugogoni!

Wanasema Waungwana mtaka cha uvunguni.....!
Na hao wazanzibari walioko huko dodoma m kilicho wapeleka huko Sio kutamani au KUPENDA kujiingiza ktk System za kigalatia bali HAWANA BUDI kufanya hivyo ili na wao WAPATE JAPO KUSIKIKA VILIO VYAO!
Ni km mfano wa Leo Palestine kujiingiza ktk BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA!
Sio mapenzi ya wapalestina kujiunga na wale makafiri wa UN bali ni moja ya njia ya kuweza KUSKIKA SAUTI ZAO Juu ya dhulma na inda wanazifanyiwa na MAKAFIRI WA Israel!

Narudia tena kukwambia WAACHENI WAZANZIBARI NA MAMBO YAO! Kiherehere kwa mwanamme madhbuti HAKIFAI!
Na km hayo unayaita matusi basi let be it!
Mimi nakwambia ukweli tu! Tatizo lako wewe na wenzako mnataka muambiwe mnacho kitaka nyie!

Na mwisho nakuonya tena!
Mnakasha wangu mi na wewe usiingize wasio kuwemo.

Au utanilazimisha nikuvunjie heshima yako!

Waacheni WAZANZIBARI WAAMUE WAKITAKACHO WAO! Nyie kalimeni mahindi huko uziguani. Mvua zimeshaanza!
Katiba ya znz ya mwaka 1984 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010 imetoa uwezo kwa BLW kufanya jambo lolote bila idihini ya JMT. Wamefanya hivyo si kwa jambo moja bali zaidi ya 10 na hakuna aliyewazuia.
Hivyo uwezo wanao isipokuwa ni woga na sijui ni kwanini.

Leo wasingekuja Dodoma nani angejadili muungano wasioutaka?
Leo wasingekuwa na hoja ya serikali 3 nani angejadili muungano?
Leo wasingekuwa na hoja za mkataba nani angejadili muungano?

Makundi yote ya wznz hakuna, narudia hakuna hata moja lililowahi kuja na option tofauti na hizo hapo juu. Leo unatuaminisha wamefungwa mikono. Wameanzisha kila kitu chao bila hata kuulizwa. Wana wimbo wa taifa, bendera yao, nembo yao, Ikulu yao, BLW, SMZ. Hakuna hata siku moja mwakilishi ndani ya BLM au BLW ameahi kufikisha mswada wa kukataa muungano.

Leo wanaotafuta cha uvunguni ni hao akina Pandu, Duni na Jusa.

Oktoba 6 2012 pale bwawani wafutao wamesema kwa meneno yao wanataka muungano
Jusa Ismail
Nasor Moyo
Manosur Himid
Prof Sheriff

Maalimu yeye keshachukua kitambulisho pale kareimjee mapema kabisa.
Naye pia hataki muungano!!! lakini ana kitambulisho mfukoni

Sheni juzi kazindua sherehe za muungano Maalim Seif akiwa pembeni, nao wanataka cha uvunguni eti.
Vuai keshasema muungano wanautaka.

Hawana mtu aliyewashika, na ndani ya BMLK siyo lazima ni hiari ya mtu.
Walikuwa na hiari ya kusema hatuji Dodoma kwasababu hatupendi kuwa wajumbe, hadi hapo muungano unegefika tamati. Wamejaa tele Dodoma wanavuta laki 3 useme eti wameshikiliwa na system! Kweli, real hoja ina chembe ya mantiki hiyo.
 
Nadhani nilishakuonya muda mrefu huko nyuma kuwa.l, ninapo jadili na wewe SIPENDELEI uingize watu wengine ktk mjadala! Lkn kutokusikia kwako ni dalili tosha ya hizo busara zako zilivyo nyingi!
Suala la wazanzibari Kwenda huko kwa wagogo Dodoma limekuwa HALINA BUDI! Na cha kushangaza ni kuwa nyie mjifanyao na busara za kuwapangia wazanzibari mambo yao mnashindwa kutambua kuwa Systems zilizowekwa na wagalatia ni kuwa HUWEZI KUFIKISHA UJUMBE WAKO NA MAHITAJI YAKO mpaka uwe nao huko dodoma!
Ya laiti kama hilo baraza la wawakilishi lingekuwa na nguvu km hilo la Dodoma SIDHANI KAMA UNGEKUTA MZANZIBARI MMOJA HUKO Ugogoni!

Wanasema Waungwana mtaka cha uvunguni.....!
Na hao wazanzibari walioko huko dodoma m kilicho wapeleka huko Sio kutamani au KUPENDA kujiingiza ktk System za kigalatia bali HAWANA BUDI kufanya hivyo ili na wao WAPATE JAPO KUSIKIKA VILIO VYAO!
Ni km mfano wa Leo Palestine kujiingiza ktk BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA!
Sio mapenzi ya wapalestina kujiunga na wale makafiri wa UN bali ni moja ya njia ya kuweza KUSKIKA SAUTI ZAO Juu ya dhulma na inda wanazifanyiwa na MAKAFIRI WA Israel!

Narudia tena kukwambia WAACHENI WAZANZIBARI NA MAMBO YAO! Kiherehere kwa mwanamme madhbuti HAKIFAI!
Na km hayo unayaita matusi basi let be it!
Mimi nakwambia ukweli tu! Tatizo lako wewe na wenzako mnataka muambiwe mnacho kitaka nyie!

Na mwisho nakuonya tena!
Mnakasha wangu mi na wewe usiingize wasio kuwemo.

Au utanilazimisha nikuvunjie heshima yako!

Waacheni WAZANZIBARI WAAMUE WAKITAKACHO WAO! Nyie kalimeni mahindi huko uziguani. Mvua zimeshaanza!
hakuna watu wanafiki kama wazanzibar, juzi wajumbe wa baraza la wawakilishi walimshambulia kificho kuwa msimamo wa serikali tatu sio wa kwao, huku wakihitaji serikali mbili, huu ni zaidi ya unafiki.
 
Ningeshangaa kama ungechangia bila matusi. Hoja zako hazisimami ila kwa matusi
-Ningeshangaa usingeingiza mambo ya imani, kwako wewe hata mlima kilimanjaro una dini.

-Lakini jiulize wznz kama hawataki muungano kwanini wapo Dodoma.
Wasingietaka leo kungelikuwa hakuna majadiliano maana wangekuwa na nchi huru.
Kinyume chake Pandu Kificho ndiye mwenyekiti hadi hatua hii.
Duni Haji anamsaidia kuandika kanuni, Ismail Jusa ni mshiriki wa kamati ya kuandika kanuni, Idd Seif yupo, Prof Sheriff yupo.
Kila kundi kutoka znz limewakilishwa, vipi useme hawataki muungano. Waliokataa muungano hawapo Dodoma.

Ningekusihi utangulize busara maana picha unayotoa si nzuri.
Nasikia wewe ni msomi basi tumia usomi wako kujenga na kujadili hoja bila matusi au uchefu chefu.

Kwasasa mahali ulipo unadhalilisha kile unachiokisimia. Sidhani kama kuna mtu au kitu kinachoweza kujinasibisha nawe maana ni dhalili.
Umemdhalilisha Mohamed Said katika nyuzi hadi amekimbia jamvi, mzee wa watu ameonekana dhalili kwani wanafunzi wake kama wewe mumemtia aibu. Nyuzi za Mzee Said ndio uwanja wa badhi yenu kujifunzia matusi mitandaoni. Huonekani kujifunza kwa dhahma uliomsababishia Mo

Uislam ni imani na dini na inasimama kwa taratibu na sheria zake. Uislam hausimamishwi kwa matusi na wala Daawa ya kuwafikia wasioamini haikuwahi kuwa matusi.
Imeelezwa walinganieni kwa kauli njema ili muwavute katika dini, matusi na kauli mbovu si ulinganifu.

Kila mara wewe ni chanzo cha kuharibu nyuzi za watu. Unapokimbiwa si kwamba unaogopwa bali watu wanakuogopa hata kujinasibisha katika mnakasha nawe. Najisikia huzuni ninapojua hujaliona hilo

Kuna wakati unapaswa ukue na kama umekuwa ufungue akili.
Niwie radhi ndugu yangu nayasema haya kwasababu anayekwambia ukweli ndiye akupandeya.
Na wala sina nia ya kukutaftish nina nia njema ya kukusaidia, ulipo sipo na wala hapafai, jirudi na jitazemae upya



Masalam

kwanza hongera kwa kuweka ustaarabu jukwaani, ila hoja uliyosimamia ni dhaifu sana, tukisema Wazanzibar hawautaki Muungano, labda wew ulidhani eti wataanzisha vita dhidi ya Tanganyika, bila kujua kwamba dunia ya sasa watu hufuata njia za kidiplomasia ktk kutatua changamoto mbali mbali na hiyo ni hatua ya mwanzo kwa Wazanzibar ndio maana wapo Dodoma leo hii, lakin pia utakuwa ujinga kwa Wazanzibar eti kususia zoezi la katiba ikiwa katiba inayoundwa ni ya Muungano, ndio iliyobeba msingi wa Muungano wetu, lazma washiriki wafanye majadiliano ya wazi waamue nn wanataka ktk Muungano huo, ktk hili tuombe maamuzi ya busara yenye kujali maslahi ya pande zote za Muungano yafikiwe, vyengnevyo hatua nyengine zitafuatia hassa kwa ule upande uliokuwa haujaridhishwa, lakin hatutpigana vita kwa kuvunja Muungano huu kama Nyerere alivyosema hatawapiga mabomu Wazanzibar wakiamua kujitenga!!
 
Katiba ya znz ya mwaka 1984 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010 imetoa uwezo kwa BLW kufanya jambo lolote bila idihini ya JMT. Wamefanya hivyo si kwa jambo moja bali zaidi ya 10 na hakuna aliyewazuia.
Hivyo uwezo wanao isipokuwa ni woga na sijui ni kwanini.

Leo wasingekuja Dodoma nani angejadili muungano wasioutaka?
Leo wasingekuwa na hoja ya serikali 3 nani angejadili muungano?
Leo wasingekuwa na hoja za mkataba nani angejadili muungano?

Makundi yote ya wznz hakuna, narudia hakuna hata moja lililowahi kuja na option tofauti na hizo hapo juu. Leo unatuaminisha wamefungwa mikono. Wameanzisha kila kitu chao bila hata kuulizwa. Wana wimbo wa taifa, bendera yao, nembo yao, Ikulu yao, BLW, SMZ. Hakuna hata siku moja mwakilishi ndani ya BLM au BLW ameahi kufikisha mswada wa kukataa muungano.

Leo wanaotafuta cha uvunguni ni hao akina Pandu, Duni na Jusa.

Oktoba 6 2012 pale bwawani wafutao wamesema kwa meneno yao wanataka muungano
Jusa Ismail
Nasor Moyo
Manosur Himid
Prof Sheriff

Maalimu yeye keshachukua kitambulisho pale kareimjee mapema kabisa.
Naye pia hataki muungano!!! lakini ana kitambulisho mfukoni

Sheni juzi kazindua sherehe za muungano Maalim Seif akiwa pembeni, nao wanataka cha uvunguni eti.
Vuai keshasema muungano wanautaka.

Hawana mtu aliyewashika, na ndani ya BMLK siyo lazima ni hiari ya mtu.
Walikuwa na hiari ya kusema hatuji Dodoma kwasababu hatupendi kuwa wajumbe, hadi hapo muungano unegefika tamati. Wamejaa tele Dodoma wanavuta laki 3 useme eti wameshikiliwa na system! Kweli, real hoja ina chembe ya mantiki hiyo.

Usilete majina ya wanafiki wachache walionunuliwa kwa thamani ndogo sana! Ukawaita wawakilishi wa wazanzibari!

Aliyekwambia hao hapo juu ndio kauli ya WAZANZIBARI WOTE NI NANI!

Wazanzibari HAWATAKI MUUNGANO!

Bali ni wasaliti wachache ndio wenye kuushabikia huo MUUNGANO WA KINAFIKI WA nyerere na yule muuwaji mwenzake!

Na fanyeni mkifanyacho. Lkn huo muungano wa kinafiki utavunjika tu!
Hilo sio la hiari!
 
MM nimesema mara nyingi tatizo la wznz siyo Muungano ni kitu kingine.

Wznz wanashangilia maneno ya Biman bila kujua kuwa wanchochea kuni. Siku moto ukiwaka watajua walikuwa wanachochea moto kuelekea vyumbani na si jikoni.

Namuunga mkono Bimani kwasababu anajenga uhalali bila kuombwa.
Hisabati ni somo la kuchagua siyo la lazima kule znz.

Madaktari wa hisabati pale UD ni wengi proportionately kutoka ZNZ kuliko Mrima. We wa wapi?
 
then kati yao "Nyerere na Karume" nani alikuwa mbaguzi
Tunapotumia hayom ya kibaguzi kama unavyoyaita tunawatumia waasisi kwa kukusudia Karume kwani hayo yote uyaitayo ya kibaguzi yaliwekwa na Karume na Nyerere akanyamaza kimya. Unahitajika kutafakari hilo!
 
Lazima Tuwe wakweli. Hivi wakija Watu millioni 2 tu kutoka Bara wakataka ardhi kweli tunayo ardhi hiyo. WaZanzibari wapo 1.2 million kuna matatizo ya kugombea ardhi

Kwani watakuja kupora?

Kama haipo watarudi...
 
This is vzr unfair. Sijawahi kuona dada yoyote ya muungano zaidi ya kuwabeba wazenji
 
Hivi watanganyika mna matatizo ya ardhi mpaka mupewe na ardhi ya zanzibar?sie wenyewe haitutoshi kaeni huko kwenu tanganyika mulime,zanzbr kwanza.

Halafu bado kuna wabunge wa bunge maalumu kutoka Tanganyika hawataki serikali ya Tanganyika irudi. Waswahili waliposema kwamba KHERI MCHAWI KULIKO MNAFIKI. hawakukosea. Ninachoshwa na UNAFIKI wa Watanganyika! hasa wana-CCM
 
Katiba ya muungano upi? si wanataka mamlaka kamili! unawezaje kupata mamlaka ukiwa kwenye nyumba ya jirani?

Usiwe mbumbumbu wa sheria! Hata kama Wazanzibari hawautaki muungano ni lazima kuwe na utaratibu wa kuliendea jambo hilo.

Kwani CHADEMA kwa nini wanakwenda bungeni wakati kile ambacho wanakitaka CCM ndicho kinachopitishwa?

Halafu eti na wewe pia unajinasibu kaw jina na GT!
 
Suala la Muungano lipo mikononi mwa wazanzibar (Pemba & Unguja) na siyo viongozi wao.Viongozi wengi wanaangalia maslahi binafsi yao na familia zao.

Ningependa kuwepo na muda muafaka wa kujadili mambo ya Muungano na pale mambo yasiyo ya muungano wabunge kutoka visiwani walitakiwa kuondoka na kuwaacha watanzania bara wajadili mambo yasiyo ya muungano,lakini hili halijawahi kutokea.

Pili suala la ardhi kwa haki kabisa inatakiwa iwe wazi kwa MTANZANIA yoyote kumiliki ardhi bila kujali wapi anatokea na sidhani kama kuna watanzania ambao leo watagombea kumiliki ardhi Zanzibar wakati eneo ni dogo sana,ila iwepo tu haki ya kumiliki endapo Mtu wa bara akanunua ardhi.

Na haki ya kupewa kitambulisho cha ukazi basi vinginevyo sijaona shida ya kumiliki ardhi kwa pande zote mbili,tatizo kubwa tunasongwa na viongozi wetu ambao wanatoa kauli za kubomoa kuliko kujenga.

Kuna kesho na keshokutwa ardhi ya Zanzibar hata kwa wanzibar wenyewe haitawatosha,watakimbilia wapi?Tusiwe wabinafsi kwa kupitiliza mwenye ardhi anatupatia kieneo kidogo tu siku akituchukua,na hata kama unamiliki ekari alfu utaziacha tu.
 
Kwanini wala urojo wanapewa haki ya kumiliki ardhi huku Danganyika?
 
yakhe, usilete uzushi katika mambo ya msingi, tafuta katiba yako ya hicho kisiwa chenu kiitwacho nchi ya zanzibar, utajua nini cuf wanachokisemea kuhusu kumiliki ardhi.

Katiba yangu haina kipengele hata kimoja, hata kimoja , hata kimoja kinachozungumzia Mtanganyika, kama kipo tafadhali kilete. Take time kwa kuuliza wajuzi!
 
..hao wanawatia hofu tu Wazanzibari.

..Zanzibar iondokane na sheria hiyo ya kibaguzi dhidi ya wa-Tanganyika.

..masuala ya supply vs demand ndiyo yanayopaswa kuamua ni jinsi gani Watanganyika wana access na ardhi ya Zanzibar.

..mpaka sasa hivi wa-Zanzibari wengi zaidi wanahamia Tanganyika kuliko kinyume chake.

..katika masuala ya ardhi migration huwa ni kutoka kwenye eneo dogo[Zanzibar] kwenda kwenye eneo kubwa[Tanganyika]. suala lingine linaloathiri migration huwa ni neema na opportunities za kiuchumi.

cc takashi, GHIBUU, gombesugu, Nguruvi3

Kutokana na mazingira ya ki-geografia haiwezekani kabisa watanganyika kupewa haki ya kumiliki ardhi Zanzibar. Kufanya hivyo ni kuifuta Zanzibar....Hebu fikiria watanganyika milioni moja wahamie Zanzibar , nini kitatokea?

Muhimu mkajielewa ,rudisheni Tanganyika yenu na muweke sheria zenu za uhamiaji, kama wazanzibari wana safiri na kuishi hadi Ulaya ,Asia na Amerika hawatashindwa kusafiri na kuishi Tanganyika kwa sheria zozote zitakazo kuwepo...
 
hakuna watu wanafiki kama wazanzibar, juzi wajumbe wa baraza la wawakilishi walimshambulia kificho kuwa msimamo wa serikali tatu sio wa kwao, huku wakihitaji serikali mbili, huu ni zaidi ya unafiki.
Mimi nadhani wewe sio mfuatiliaji wa masuala ya siasa za tz na mambo ya Muungano...Kwahiyo unazungumzia vitu ambavyo huvijui... Na huu ndio unafiki mkubwa... Katika maoni ya katiba mpya yaliyo kusanywa na Warioba , waznz walipendekeza nini? tafuta jibu baadae rudi tena hapa... Sindikizo la kutaka serikali mbili linatoka CCM Dodoma, kwa Vingunge . Kuna vibaraka wanawatumia hapa znz kwa maslahi yao , lakini siku itafika hakutakuwa na CCM wala Muungano. Hakuna dhuluma itakayo dumu milele...
 
Back
Top Bottom